permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,021
- 11,210
Hii nchi kila mtu ni kitengoStori za vijiweni tutaambiwa "alikuwa mtu wa usalama"
Hii nchi kila mtu ni kitengoStori za vijiweni tutaambiwa "alikuwa mtu wa usalama"
Ulitaka aitwe Johnson? Kasumba tu!Majina yote hawakuona, wakaamua kumpa maharage?
Teh teh teh bado Masanja tu pale TRC..Mtu wa Multi Choice ana uhusiano gani na umeme, anajua nini kuhusu Tanesco ? Au manager yoyote tu anaweza rushwa Tanesco? Tusubirie tu mikataba mingine ya ajabu ajabu.
Huyo Idrisa alikuwa DG wa tanesco kipindi gani, coz kama ni kipindi cha JK hakukuwa na umeme wa kueleweka.Wakati wa Idrisa kulikuwa hakuna mgao..
Umeme ulikuwa very stable..
Matatizo yalikuwepo kabla yake na baada yake
Pamoja na yote, sisi wateja hatukuwa na karaha ya kukatika umeme ovyo. JPM pamoja na mapungufu yake alihakikisha tunapata umeme kwa uhakika, leo hii umeme umeanza kuwa tatizo.Mimi mama namuunga mkono 100% kuifumua tanesco , wateuliwa wa jpm walikuwa nakiburi mno , kazi ilikuwa nikumsifia rais na kusema uongo. Eti kuunganishiwa umeme 27000/= tena huyo karemanii alichereweshwa.
Kivule....Ni mtu wa Pwani
Mimi mama namuunga mkono 100% kuifumua tanesco , wateuliwa wa jpm walikuwa nakiburi mno , kazi ilikuwa nikumsifia rais na kusema uongo. Eti kuunganishiwa umeme 27000/= tena huyo karemanii alichereweshwa.
You nailed it bro!!!
The guy is a gentleman... Alikuwa mbele yangu kwa vidato. But he is alright.
Seriously customer satisfaction huwa haipo kwenye public services... Theseare right people to head those entities...
Nchi haiwezi kuchukuliwa na washamba tena. Mtasaga menoSwala ni kubaki madarakani hayo mengine mtajijua