Mahali wanapofanya massage Arusha ni wapi?

Mahali wanapofanya massage Arusha ni wapi?

huyo nae atakua ashakufa au la basi yupo kitandani..
masaji za kutembeleana hadi majumbani na kwenye vyumba vya hotel hizo hatari. just try to imagine mwanamke anakwambia nipigie simu nitakufuata popote nikupige masaji, amepiga wangapi hadi kukufikia wewe, na kama anakupa happy ending izo happy ending ametoa kwa wangapi?...kuna jamaa mmoja alinambia siku hizi watu wanaambukiza ngoma kwa hasira kwa makusudi tu ili muwe sawa, hawajali afya yako kabisa.
 
huyo ameshakufa mzee, namfahamu. kama huamini piga simu yake. pole sana kama ulipiga peku.

Mara nyingi design ya mademu wa aina hiyo ni wale waliokata tamaa na maisha....kama ana sifa zote hizo why awe Call girl? Alikuwa anafanya kusudi kusambaza NYAYA kwa wakware.
 
masaji za kutembeleana hadi majumbani na kwenye vyumba vya hotel hizo hatari. just try to imagine mwanamke anakwambia nipigie simu nitakufuata popote nikupige masaji, amepiga wangapi hadi kukufikia wewe, na kama anakupa happy ending izo happy ending ametoa kwa wangapi?...kuna jamaa mmoja alinambia siku hizi watu wanaambukiza ngoma kwa hasira kwa makusudi tu ili muwe sawa, hawajali afya yako kabisa.
Inategemea na mtu,ila wale wa 150,000/= kwa nusu saa huwa wanakuja na zana zao, huwapigi kavu.
 
Mmhhh Mbona Status yake ni hiyo hiyo tangia 4 feb 2019 hajawahi ibadili....Ukituma text kwenye whatsapp ina double tick?
Nimechat naye kabisa muda huu,ameweka picha yake kwenye profile, si mzuri sana; ila ameniuliza wewe ni nani, na umenifahamia wapi
 
Back
Top Bottom