Mahali wanapofanya massage Arusha ni wapi?

Mahali wanapofanya massage Arusha ni wapi?

Sikushauri kwenda BIG L, nakumbuka nilijikuta navaa nguo zangu kabla ya massage kuisha yule mdaa mtata sana bana....Complex wako serious na kazi yao.
 
Sikushauri kwenda BIG L, nakumbuka nilijikuta navaa nguo zangu kabla ya massage kuisha yule mdaa mtata sana bana....Complex wako serious na kazi yao.

Alifanyaje mkuu, yasije yakatukuta tutakaoenda na uzee huu
 
tatizo utakuwa uitaka akupe umalize na ile raha ya mwisho kabisa wakati sio makubaliano.


Sikushauri kwenda BIG L, nakumbuka nilijikuta navaa nguo zangu kabla ya massage kuisha yule mdaa mtata sana bana....Complex wako serious na kazi yao.
 
Nenda Palace Hotel opposite office ya mkuu wa mkoa Arusha kuna mrembo wa ukweli lakini ukimaliza massage usiombe number ya simu.

Wanafanya bei gani...
 
Nipo maeneo ya soko mjinga nikitoka niwasili hapo........huyo bibi anauza pombe gani ya kienyeji rahisi kumpata


Viroba tu ndo vinatoka sana huku.
Ukifika nyuma ya kina setaaaa mbele ya ule uwanja wa shule nipigie nikupeleke.
 
Nenda Asamba Fitness Center Moshono kuna ceragem massager bei nafuu.
 
Big L ndo mpango mzima,
Ipo karibu na roundabout ya Florida, Karibu na Selian hospital
Warekebishe watu nawe jirekebishe pia. Hospital ya Selian iko ngaramtoni na
Hii hospital hapa op na silve palm hotel sio Seliani kama wewe na wengineo mnavyoiita inaitwa A.L.M.C kirefu chake ni Arusha Lutheran Medical Centre.
sambaza ujumbe na kwa wenzio.
 
Back
Top Bottom