VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Harakati za Mahakimu wa Mahakama mbalimbali Tanzania kuapishwa kuwa Mawakili zimegonga mwamba. Taarifa toka Mahakama ya Rufani Tanzania zinasema kuwa Jaji Mkuu Othman Chande amewakatalia mahakimu wote kuapishwa kuwa Mawakili hapo tar 7 ya mwezi huu wa Disemba. Mahakimu hao wametakiwa kuacha kazi ili waapishwe. Je,ni halali?