Brian Mwenda: Wakili Fake wa Mahakama Kuu ya Kenya aliyewashindia wateja wake Kesi 26 atiwa mbaroni

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,784
Hapo ndio Utajua kipawa ni zaidi ya hayo Makaratasi yenu.

Mtu hajasomea sheria Wala hajahitimu Uwakili.lakini amewezesha kushinda kesi 26 Kwa niaba ya wateja wake,unamkamata wa nini? Nani fake kati ya waliosomea na huyu?

Tunarudia kule kule kati ya mainjinia wa Makaratasi na kina Kipanya

Daktrai wa Makaratasi na Daktari wa kuzaliwa.

Mrudisheni Wakili Wetu aendelee na kazi

==========

Brian Mwenda.jpg

Mamlaka nchini Kenya zinamshikilia Brian Mwenda, anayedaiwa kuwa wakili ‘feki’ ambaye kwa zaidi ya miaka kumi amekuwa akijitambalisha kama Wakili wa Mahakama Kuu ya Kenya.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari nchini humo zinasema ‘wakili’ huyo ameshindia wateja wake kesi 26 mbele ya Majaji wa Mahakama Kuu, Mahakimu na Majaji wa Mahakama ya Rufani kabla ya kukamatwa.

Mwenda amekamtwa na Chama cha Wanasheria cha Kenya (LSK), tawi la Nairobi, ambapo imeelezwa kuwa katika taarifa za Mawakili zilizopo LSK, zinaonyesha kuwa jina la Mwenda halipo katika orodha hiyo, pia hana leseni.

Hata hivyo baadhi ya watu kwenye mitando ya kijamii, wamekuwa wakimpongeza kwa ujasiri na kujiamini huku aliyewahi kuwa Gavana wa Kaunti ya Nairobi, Mike Sonko, akijitolea kumfadhili katika masomo ya sheria.

Mwananchi
 
Mwalimu feki, daktari feki, mkandarasi feki, na makanjanja wengine kama wanaweza kufanya hizo kazi kwa weledi watunukiwe shahada, diploma na certificate za heshima badala ya kuwakamata, huo ni ujuha. Sie wengine hatutaogopa kufanya kazi ambazo hatukuzisomea wakati tunajua code zake tutazifanya tu. Tutafundisha wanafunzi kukokotoa mahesabu, tutatibu, tutajenga majumba na tutafanya kazi nyingi zaidi tusizozisomea ikiwemo kuhubiri neno la Mungu bila kwenda vyuo vya kitheolojia kutunukiwa vyeti. Ni kama kuunda familia bila ndoa inayotambulika kisheria kuwa ina cheti wakati ndoa hiyo ina amani tele na ina maadili ya kindoa na familia. Vyeti tupeane baada ya kuweza majukumu kwa ufanisi mkubwa
 
Hapo ndio Utajua kipawa ni zaidi ya hayo Makaratasi yenu.

Mtu hajasomea sheria Wala hajahitimu Uwakili.lakini amewezesha kushinda kesi 26 Kwa niaba ya wateja wake,unamkamata wa nini? Nani fake kati ya waliosomea na huyu?

Tunarudia kule kule kati ya mainjinia wa Makaratasi na kina Kipanya

Daktrai wa Makaratasi na Daktari wa kuzaliwa.

Mrudisheni Wakili Wetu aendelee na kazi

==========


Mamlaka nchini Kenya zinamshikilia Brian Mwenda, anayedaiwa kuwa wakili ‘feki’ ambaye kwa zaidi ya miaka kumi amekuwa akijitambalisha kama Wakili wa Mahakama Kuu ya Kenya.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari nchini humo zinasema ‘wakili’ huyo ameshindia wateja wake kesi 26 mbele ya Majaji wa Mahakama Kuu, Mahakimu na Majaji wa Mahakama ya Rufani kabla ya kukamatwa.

Mwenda amekamtwa na Chama cha Wanasheria cha Kenya (LSK), tawi la Nairobi, ambapo imeelezwa kuwa katika taarifa za Mawakili zilizopo LSK, zinaonyesha kuwa jina la Mwenda halipo katika orodha hiyo, pia hana leseni.

Hata hivyo baadhi ya watu kwenye mitando ya kijamii, wamekuwa wakimpongeza kwa ujasiri na kujiamini huku aliyewahi kuwa Gavana wa Kaunti ya Nairobi, Mike Sonko, akijitolea kumfadhili katika masomo ya sheria.

Mwananchi
Ndg. Sheria huwa haina mjadala.
Lakini una hoja but wakilegeza watachochea ukanjanja
 
Nakumbuka kijijini miaka ya 90's kulikuwa na mganga wa jadi anang'oa meno mpaka ya waganga wa hospitali tena bila ganzi. Haya mambo nadhani akili ya kuzaliwa na kipaji kinachangia.
 
Hapo ndio Utajua kipawa ni zaidi ya hayo Makaratasi yenu.

Mtu hajasomea sheria Wala hajahitimu Uwakili.lakini amewezesha kushinda kesi 26 Kwa niaba ya wateja wake,unamkamata wa nini? Nani fake kati ya waliosomea na huyu?

Tunarudia kule kule kati ya mainjinia wa Makaratasi na kina Kipanya

Daktrai wa Makaratasi na Daktari wa kuzaliwa.

Mrudisheni Wakili Wetu aendelee na kazi

==========


Mamlaka nchini Kenya zinamshikilia Brian Mwenda, anayedaiwa kuwa wakili ‘feki’ ambaye kwa zaidi ya miaka kumi amekuwa akijitambalisha kama Wakili wa Mahakama Kuu ya Kenya.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari nchini humo zinasema ‘wakili’ huyo ameshindia wateja wake kesi 26 mbele ya Majaji wa Mahakama Kuu, Mahakimu na Majaji wa Mahakama ya Rufani kabla ya kukamatwa.

Mwenda amekamtwa na Chama cha Wanasheria cha Kenya (LSK), tawi la Nairobi, ambapo imeelezwa kuwa katika taarifa za Mawakili zilizopo LSK, zinaonyesha kuwa jina la Mwenda halipo katika orodha hiyo, pia hana leseni.

Hata hivyo baadhi ya watu kwenye mitando ya kijamii, wamekuwa wakimpongeza kwa ujasiri na kujiamini huku aliyewahi kuwa Gavana wa Kaunti ya Nairobi, Mike Sonko, akijitolea kumfadhili katika masomo ya sheria.

Mwananchi
Hii Inaitwa Ukiwashinda, Wakakushikia Kitofali. - Asikiae na Afahamu
 
Hapo ndio Utajua kipawa ni zaidi ya hayo Makaratasi yenu.

Mtu hajasomea sheria Wala hajahitimu Uwakili.lakini amewezesha kushinda kesi 26 Kwa niaba ya wateja wake,unamkamata wa nini? Nani fake kati ya waliosomea na huyu?

Tunarudia kule kule kati ya mainjinia wa Makaratasi na kina Kipanya

Daktrai wa Makaratasi na Daktari wa kuzaliwa.

Mrudisheni Wakili Wetu aendelee na kazi

==========


Mamlaka nchini Kenya zinamshikilia Brian Mwenda, anayedaiwa kuwa wakili ‘feki’ ambaye kwa zaidi ya miaka kumi amekuwa akijitambalisha kama Wakili wa Mahakama Kuu ya Kenya.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari nchini humo zinasema ‘wakili’ huyo ameshindia wateja wake kesi 26 mbele ya Majaji wa Mahakama Kuu, Mahakimu na Majaji wa Mahakama ya Rufani kabla ya kukamatwa.

Mwenda amekamtwa na Chama cha Wanasheria cha Kenya (LSK), tawi la Nairobi, ambapo imeelezwa kuwa katika taarifa za Mawakili zilizopo LSK, zinaonyesha kuwa jina la Mwenda halipo katika orodha hiyo, pia hana leseni.

Hata hivyo baadhi ya watu kwenye mitando ya kijamii, wamekuwa wakimpongeza kwa ujasiri na kujiamini huku aliyewahi kuwa Gavana wa Kaunti ya Nairobi, Mike Sonko, akijitolea kumfadhili katika masomo ya sheria.

Mwananchi
Brian, you are welcome , Tanzania the land of Kilimanjaro.
 
Back
Top Bottom