Mahakimu na kupata Ujaji (Baadhi, sio wote please)

Mahakimu na kupata Ujaji (Baadhi, sio wote please)

Wewe ni sawa tu na huyo Shangazi yenu Fatuma Karume!
Asante sana ndugu kwa kunifananisha na kichwa chenye akili agiza mataputapu ndoo mbili nakuja kulipa
 

Ukiwa hujaelimika huwezi elewa hotuba hiyo. Ni kweli TZ ni tajiri sana kwa raslimali zilizopo ambazo zimekuwa zikichukuliwa na mafisadi na mabeberu sasa Rais anataka watz waamuke ili raslimali zao zisiibiwe kwa kuambiwa sisi ni maskini wakati tuna raslimali kibao. Hivyo mpaka tutakapoweza kuzitumia raslimali zetu effectively ndiyo tutaondokana na utegemezi.
 
Maprofesa wa CCM kinawatoa jasho sana hujamuona Prof.Ndalicheka au bulicheka hahaha
Vipi wa saccos ya Chadema? Hata Prof. Safari amewakimbia ameona anahangaika na idiot!!
 
Vipi wa saccos ya Chadema? Hata Prof. Safari amewakimbia ameona anahangaika na idiot!!

Huyu mama Prof wa CCM hamfikii Shangazi wa Taifa bi Fatma Karume hata hiyo phD yake ni kuhonga hahahaa
 
Kuna mambo ambayo huwa yako wazi kabisa kwamba kuna uonevu, hayo ni lazima yalalamikiwe. Wewe usiyejitambua na mpiga vigelegele kwa kila uonevu huwezi hata siku moja kuyaona . labda mpaka siku wakikugusa. Endelea kupiga vigelegele tu, maana nyie ni watoto wa ibilisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni kutega hivo hivo ili waendelee kuwagusa! Teh teh teh teh😂😂😂😂😂😂😂
 

Huyu mama Prof wa CCM hamfikii Shangazi wa Taifa bi Fatma Karume hata hiyo phD yake ni kuhonga hahahaa

Kwa kuwa akili yako inafikiri kuongea kiingereza ndiyo kuelimika!
 
Kwa utawala huu, awamu ya tano, lazima kila mmoja ajitahidi kutimiza beuracratic competition! Kila mmoja (sio wote) anajitahidi kumfurahisha fulani hata kama kuvunja sheria/kutotoa hukumu ya haki etc!
Ya Meya wa DSM ndio matokeo ya hiyo! Ya Kabendera na hakimu huyo huyo!
Kama umesoma alichoandika Meya Isaya leo utaifuta hii thread.
 
Kama umesoma alichoandika Meya Isaya leo utaifuta hii thread.
Mimi ni analytical, You go and read between words my post! Nina object kipengele cha kufukuzwa umeya abnapata hasara gani! This is the gist of my post!
 
Kwa utawala huu, awamu ya tano, lazima kila mmoja ajitahidi kutimiza beuracratic competition! Kila mmoja (sio wote) anajitahidi kumfurahisha fulani hata kama kuvunja sheria/kutotoa hukumu ya haki etc!
Ya Meya wa DSM ndio matokeo ya hiyo! Ya Kabendera na hakimu huyo huyo!
Kwanini usitoe hukumu wewe? Huna uwezo wa kuwa hakimu au Jaji bali uwezo wako ni wa hapa JF kutoa pumba basi.
 
Ass! Sikuachi kazi yangu kukuelewesha mpaka uelewe na uache kudanganya hapa JF
Wewe hutakaa uwe na elimu kama ya kwangu. Nimekwambia kuwa nimemaliza first degree hata mama yako jahazaliwa, 1981!
 
Consideration muhimu kwa sasa kwa nafasi za "Ujaji" ni "Ulaji" kupitia "commitment" zenye nia ya makusudi kukandamiza haki za viongozi wa upinzani hata kama sheria zipo wazi. Mteule wa Ulaji huu ni lazima apitie tanuru la kupindisha haki za kisheria ili akapate kuaminika ndani ya watawala hawa wenye hila ovu na roho za kidhalimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasiasa acheni kuitumia mahakama kama kichaka cha siasa zenu uchwara.

Mnalo bunge na majukwaa ya kisiasa. Nendeni huko mkapigane vikumbo.

The court is not a battleground for politics.

Mmeshindwa siasa, mmeamua kuivamia mahakama.

Mara wakurugenzi sijui wamekuaje, mara spika sijui kafanyaje. SIASA TUPU.

Acheni huo upumbafu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio mpumbafu.huoni chadema tunavyokandamizwaa???
 
Back
Top Bottom