Mahakama yawafutia dhamana M/kiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko

Dah
IMG-20181216-WA0212.jpeg
 
View attachment 970050

Kwani makosa gani sasa hadi kuwekana ndani asee...

Mr.Presdent you still have a second chance, punguza hasira zisizo kuwa na umuhimu bwana sisi wote watanzania tunapenda ukistaafu tuwe tunakuja kuchota busara zako kilimani

Sioni mpinzani hata mmoja mwenye lengo la kukudhulumu au kukuhujumu

Take them as a plan B and not maadui
Hivi ni jpm aliagiza jamaa akiuke masharti ya dhamana?
 
Hivi ni jpm aliagiza jamaa akiuke masharti ya dhamana?
Aliagiza hakimu amnyang'anye dhamana ndio maana mwakibinga alitumwa na makonda aseme yale aliyoyasema sio siri mbowe juwa ndani ni magufuli kuingilia mahakama what goes around comes around ayafanyayo kwa wapinzani kuna siku atafanyiwa
 
Mimi ningependa aendelee hivyo hivyo ili kutakapokucha yeye awe bado analala , tutaheshimiana tu .
 
Kwani nani si wameshafikishwa mahakani? kilichobaki ni kufuata taratibu za kimahakama tu hapo Mh Rais hawezi ingilia kitu kesi iko mahakani tayari
 
Acha wabaki ndani kitu ambacho Jiwe hajui ni kuwa watapishana mlangoni mmoja anatoka mwingine anaingia lasivyo aende Rwanda.
 
Najua JF Wapo wabobezi wa kutosha.
Mara nyingi nchi kuingia vitani zipo hatua long term causes na recently causes mfano wa sababu ya karibuni kukiuka mashariti ya dhamana!? Hivi kweli Kiongozi wa chama kikuu cha Upinzani, Mbunge, haaminiki kiasi hicho!? Wafuasi na Watanzania wengi wanaopenda umoja wa taifa letu tunawajengea nini mioyoni mwao!? Ni kweli Mh. Hakimu aliongozwa kwa hekima na busara katika maamuzi kufuta dhamana!? Naombeni kujua kiini cha hili.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wadau hususan wale wataalam wa sheria..
Mimi raia mwenzenu nahisi kama kuna haja ya hawa watuhumiwa kuachiwa tena kwa dhamana.
Kitendo cha kuendelea kukaa kule kunawaongezea nguvu kuelekea Uchaguzi kwa maana moja raia huenda wanahisi wanaonewa.
Pili kama walikiuka utaratibu wa dhamana siku hizo walizokaa ndani,tayari ni fundisho watajitahidi kuzingatia utaratibu wa mahakama..isitoshe Mh.Mbowe ni mzee inabidi mahakama itazame hili swala..
 
Sheria ni msumeno, acha wawe funzo kwa jamii kuheshimu dhamana na kutoidanganya mahakama, wakitoka huko watakuwa na adabu hata kama nje watajionyesha hawajali.
 
Ana uzee gani huyo mruka majoka!
Akitoka huko na wanae atajua jinsi ya kuishi na utawala huu.hapa kazi tu
 
Sheria ni msumeno, acha wawe funzo kwa jamii kuheshimu dhamana na kutoidanganya mahakama, wakitoka huko watakuwa na adabu hata kama nje watajionyesha hawajali.

Hayo ni maisha ya kawaida sana kwenye nchi za kidictator ambapo mahakama zinamtii rais, huyo Mbowe ndio atakuwa tatizo iwapo hakutegemea hali hiyo. Yanayo mkutano Mbowe ni madogo, mwenzake Lissu alipigwa risasi kabisa na hao hao wanaoagiz mahakama zifanye kazi vipi.
 
Ndugu wadau hususan wale wataalam wa sheria..
Mimi raia mwenzenu nahisi kama kuna haja ya hawa watuhumiwa kuachiwa tena kwa dhamana.
Kitendo cha kuendelea kukaa kule kunawaongezea nguvu kuelekea Uchaguzi kwa maana moja raia huenda wanahisi wanaonewa.
Pili kama walikiuka utaratibu wa dhamana siku hizo walizokaa ndani,tayari ni fundisho watajitahidi kuzingatia utaratibu wa mahakama..isitoshe Mh.Mbowe ni mzee inabidi mahakama itazame hili swala..
Na wengine wenye kosa kama lao unashauri wafanywajwe nao?
 
Back
Top Bottom