0738393966
Member
- Oct 8, 2018
- 12
- 2
Hizi siasa zetu zinaboa bora nipite tu.
Uvccm mna shida sana, cjui mnalipwa nini kwa kushangilia ujinga, povu linaruhusiwaKOFI OLOMIDE designe. Ndevu zitatoka nyeupee. Huo ndo utawala wa sheria. unadanganya upo SA unaumwa kumbe upo ubeleji unapiga umbea.
Tatizo la kiongozi kichaa ukishaona kiongozi anakili kuwa yeye ni kichaa na anaowachagua ni vichaa unajiuliza ndio maana baraza la mawaziri wameshindwa kumshauri jaji mkuu kichaa kuondolewa ikulu mtu wa kawaida mwenye usomi wa level ya phd hawezi kamwe kucheza mchezo wa kitoto namna yaani wewe na watendaji wako mumesababisha resitance na mauaji halafu muliowakosea munawafunga ndani hayo ni maajabu nina uhakika huyu kichaa ameshahisi si mtu wakuishi muda mrefu duniani ndiyo maana anachuki sanaMuda wa maigizo nadhani sasa utaisha.
Wapinzani wanahitaji sasa wajue nini cha kufanya huyu si yule aliyekuwa anawatuliza na juice.
Mfanya biashara mwanasiasa ni nadra sana kuimalika kisiasa ndani ya uongoz dizain hii vinginevyo usiwe tapeli na mwongo mwongo na mwenye dharau.
Ni muda sasa wa wapinzani kuwapa darasa wananchi wapi tunanyonywa na utawala kwa kifungu kwa kifungu cha katiba na she ria.
Wala haina haja yakutumia nguvu na dharau kwa utawala wananchi wakipata elimu tu hakuna Jeshi litakalo simamisha nguvu ya umma inachotaka.
Sana sana baada ya magufuli kuukunja mahakama nakufanya nikitengo chake cha propaganda anavyojuwa kuhonga utakuja shangaa hakimu anakuwa balozi wetu umoja wa mataifaHatimaye Mahakama imetenda Haki.
Mahakama Imetenda Haki. Acha Longo Longo Dogo.Sana sana baada ya magufuli kuukunja mahakama nakufanya nikitengo chake cha propaganda anavyojuwa kuhonga utakuja shangaa hakimu anakuwa balozi wetu umoja wa mataifa
Mahakama ya magufuli imemtendea haki hakimu ili kumtengenezea ulaji kuna mahakimu wamecompromise kama huyo wa kisitu yeye akiitwa ikulu kwenda kunywa chai ya walipa kodi akitoka haangalii hata morals za kisheria kesi kama hizi wanafunzi wa mwaka wa kwanza wakizisoma wanaona huyo hakimu ni sehemu ya vichaa walio katika system ya MagufuliMahakama Imetenda Haki. Acha Longo Longo Dogo.
True walahiMngemshauri aache uhuni aheshimu masharti ya dhamana.
Mahakama Imetenda Haki. Acha Longo Longo Dogo.
Well said walahiNyie ni mahakimuuu? Tafteni hela bana acheni mahakama ifanye kazi zake kwa uhuru. Kuna zero brain wanajaribu kuhusisha hii ishu na ccm, ccm haipo kwenye jengo llt la mahakama tz na anayetoa hukumu anatoa kwa kujibu wa vifungu vyakatiba ya tanzania na sio ya ccm. Stop silly blamish and go to work uingize hela
Nyie ni mahakimuuu? Tafteni hela bana acheni mahakama ifanye kazi zake kwa uhuru. Kuna zero brain wanajaribu kuhusisha hii ishu na ccm, ccm haipo kwenye jengo llt la mahakama tz na anayetoa hukumu anatoa kwa kujibu wa vifungu vyakatiba ya tanzania na sio ya ccm. Stop silly blamish and go to work uingize hela
Kwani kafungwa au dhamana imefutwaHovyo! Kwahiyo unafurahi mwenzio kufungwa.
Maana wameshindwa kuwa wanatii amri yankufika mahakamani,unajua wakati mwingine viongozi wa upinzani wanafanya mambo ya kitoto sana,umepewa dhamana na mahakama ya kua unafika mahakamani kwa tarehe tajwa au kwa kutia taarifa mahakamani,sasa wao wanashindwa kutii haki za mahakama kama ambavyo wao pia wanataka mahakama iwape haki
Dogo acha Longo longo ...Mahakama imetenda HAKI.Mahakama ya magufuli imemtendea haki hakimu ili kumtengenezea ulaji kuna mahakimu wamecompromise kama huyo wa kisitu yeye akiitwa ikulu kwenda kunywa chai ya walipa kodi akitoka haangalii hata morals za kisheria kesi kama hizi wanafunzi wa mwaka wa kwanza wakizisoma wanaona huyo hakimu ni sehemu ya vichaa walio katika system ya Magufuli
Nimekuelewa mkuu, ila mie naumia kwanini imeondolewa dhamana ilhali Mh Mbowe alikuwa anaumwa na wadhamini walitoa taarifa kama kanuni inavyotaka? Ni uonevu wa kazi jamani ila tumuachie Mungu aingilie kati.Nisamehe, shida una elewa mpaka kupitiliza. shida ya bwana mbowe kutotoa taarifa ya udhuru/kutofika mahakamani siku ya kesi yake ikitajwa. ilo ndo tatizo sasa wewe umewaza ile kesi sio halali (yawezekana uko sahihi)
Huyu bwana alitakiwa afike mahakamani kesi isikilizwe ili tujue ni halali ama haramu. kutofika amefanya makosa mkuu (kaidharau mahakama)
Yaani ni sawa na ww upewe kesi ya wizi ( kwa kusingiziwa) na ikafika mahakamani ukapewa dhamana siku ya kesi kutajwa haufiki alafu nduguzo waseme ni sawa kutofika kwako maana kesi hukuiba (na kwelo hukuiba) ila kesi iko kwa pilato
Unajua mada iliopo mezani? Au na wewe unajaribu kuanzisha ya kwako?! Hv mbowe kafutiwa dhamana au kahukumiwa?? Kw akili yako unataka mahakama zifanye kz gn??!! Hv kuna wakti huwa mnafkiri kw kutumia makalio.sio bure.Tatizo la kiongozi kichaa ukishaona kiongozi anakili kuwa yeye ni kichaa na anaowachagua ni vichaa unajiuliza ndio maana baraza la mawaziri wameshindwa kumshauri jaji mkuu kichaa kuondolewa ikulu mtu wa kawaida mwenye usomi wa level ya phd hawezi kamwe kucheza mchezo wa kitoto namna yaani wewe na watendaji wako mumesababisha resitance na mauaji halafu muliowakosea munawafunga ndani hayo ni maajabu nina uhakika huyu kichaa ameshahisi si mtu wakuishi muda mrefu duniani ndiyo maana anachuki sana