Mngajua kesho yenu msingeandika haya. Hujawahi kuwa ccm kuliko Lowassa au sumaye wanaokula asilimia 80 ya mshahara wa majaliwa. Unakumbuka walivyoutenda upinzani? Leo wako wapi pamoja na ID yako fake unajifanya kushangilia ukatili unaofanywa na usiokuwa na tija yeyote. Kila unachokifanya kina matokeo ya kesho yako.KOFI OLOMIDE designe. Ndevu zitatoka nyeupee. Huo ndo utawala wa sheria. unadanganya upo SA unaumwa kumbe upo ubeleji unapiga umbea.