Mahakama yatupilia mbali maombi ya bodi ya wadhamini CUF ya Maalim Seif

Mahakama yatupilia mbali maombi ya bodi ya wadhamini CUF

Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri ametoa uamuzi huo baada ya kusikiliza pande zote mbili. Hivyo Bodi ya Maalim Seif ni batili na Mtatiro ni batili.

18582422_10155362517169339_6933549447431220803_n.jpg


18557268_129953667563580_513525014680713158_n.jpg
Bodi hiyo iliomba nini?
 
Waende court of Appeal wakashindwe pia. Maalim alichemka pale alipochelewa kuijibu barua ya kujiuzuru ya Lipumba.

Hata kwny Kesi pia alichemka!

Unaenda kupeleka kesi ya uhalali wa Bodi ya wadhamini hapo hapo unapeleka Barua Rita kuifuta hiyo Bodi kabla ya kesi kusikilizwa
 
Du eti viongozi wana risk maisha kwa ajili ya raia? Kwa lipi hasa na tangu lini mwanasiasa aka risk maisha yake kwa ajili ya raia sema ana risk maisha kwa njaa yake
 
Nchi hii huwa ina vichekesho sana, yaani maamuzi yakitolewa na mahakama yakipingana na uamuzi wa jaji/ hakimu tena kama case inahusu wapinzani bac utasikia haki hakikutendwa na hufika mbali na kudai maamuzi yametoka juu ila akishinda case mpinzani bac utasikia haki imetendeka.

Sasa huwa najiuliza ni lini upinzani watakuwa na imani na mahakama?, kama hawaziamini ni kwa nn huwa wanapeleka madai yao huko huku wanaamini maamuzi ya majaji/ mahakimu hufuata maelekezo kutoka juu?

Siasa za bongo ndio maana zinanifanyaga nisiwe na imani na wanasiasa
Ni kweli mensaah, wanajf naona mnajitoa ufahamu na ninaona kila dalili za kuwa watu humu jamii forum wapo kazini, kwa kila kinachochangiwa hata kama mchangiaji kasema ukweli ukiuhusu serikali kanunuliwa au wa Lumumba. Hivyo hata watu wenye uelewa wanashindwa kuchangia.
 
Seif ana kibuli sana hataki kuwasikiliza hata watu waliokuwa wanasuruhisha migogoro ya cuf hapo mwanzo

Kibuli hiki anakipata kutoka upande wa cdm
 
Mahakama yatupilia mbali maombi ya bodi ya wadhamini CUF

Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri ametoa uamuzi huo baada ya kusikiliza pande zote mbili. Hivyo Bodi ya Maalim Seif ni batili na Mtatiro ni batili.

18582422_10155362517169339_6933549447431220803_n.jpg


18557268_129953667563580_513525014680713158_n.jpg
Tuliyajua hayo lakini tukabezwa
Btw hiyo ni ofisi au choo cha kulipia?
 
Maalim bhana teh teh teh yaani Huyo jamaa humuwezi Huyo, prof huwa hakurupuki. Halafu mnakuja humu kuwaponda walimu wenu, yaani wewe darasa la 7 form 4,6 umejua kutype juzi unamdharau prof.....mwee ngoja awanyoshe kwanza.
 
Hakuna cha ku risk Maisha Acha kujidanyanya!
Kwahiyo virungu alivyokula mdee kipindu cha kupinga katiba ya chenge iliyochakachua maoni ya wananchi ilikuwa kwa maslahi yake binafsi??? Ben saanane je??? Lisu je aliepigwa kipigo cha mbwa mwizi na kutembezwa barabarani kifua wazi kule tarime alikuwa kwa maslahi ya nani??? Kma ni maslahi yenu mbona hakuhoji kwanini wwe na mkeo hamko barabarani??
 
Hivi upande wa mahakama napo walifanya uhakiki?
Au ni kama wale wa upande wa Bunge na wateule wa serikali?
Wenye jibu anijuze tafadhali; mie sijui!!
 
Kwahiyo virungu alivyokula mdee kipindu cha kupinga katiba ya chenge iliyochakachua maoni ya wananchi ilikuwa kwa maslahi yake binafsi??? Ben saanane je??? Lisu je aliepigwa kipigo cha mbwa mwizi na kutembezwa barabarani kifua wazi kule tarime alikuwa kwa maslahi ya nani??? Kma ni maslahi yenu mbona hakuhoji kwanini wwe na mkeo hamko barabarani??

Wakimaliza kupigwa Virungu wanaenda kutafuna Ruzuku Nani angeshindwa ku take that ghost risk?

Ukimuona Lissu Mahakamani kwny kesi za Chadema unajua ni uzalendo?

Wenzio wakirudi ofisni ni Mwendo wa Invoice na Cheque Wewe unakazania eti wame take risk!
 
High court... Court of appeal. Hakimu wakazi si ndio walizuia wazi wazi dhamana ya Lema,. Masikini waoga (sio wote)
Umesahau kwamba Lema alirudishwa na mahakamavya rufaaa alikuwa amefutwa ubunge? Unajua Lema huyo huyo ametolewa na mahakama ya rufaa lakini ni wazi alikuwa na hatia ya kumtuksna Rais wakati akiwa nje kwa dhamana? Umesahau kwamba Seif Sharif Hamad angenyongwa kwa uhaini kama si mahakama ya rufaa kusema kuwa hakuna uhaini kwa sehemu moja
 
Back
Top Bottom