Mahakama yatupilia mbali maombi ya bodi ya wadhamini CUF ya Maalim Seif

Hii chuki inayopandikizwa Zenji sijui mwisho wake ni nini, unaweza kutimia ule msemo wa " the war we all lost", tuendelee kuomba Mungu!!
 
Umesahau kwamba Lema alirudishwa na mahakamavya rufaaa alikuwa amefutwa ubunge? Unajua Lema huyo huyo ametolewa na mahakama ya rufaa lakini ni wazi alikuwa na hatia ya kumtuksna Rais wakati akiwa nje kwa dhamana? Umesahau kwamba Seif Sharif Hamad angenyongwa kwa uhaini kama si mahakama ya rufaa kusema kuwa hakuna uhaini kwa sehemu moja
Hujanielewa please. Court of appeal is perfect at least for now! Najua labda zidi ya unavyojua kinachoendelea kwenye judiciary!
 

Attachments

  • JE ZANZIBAR NI NCHI COURT RULING WITH REGARD TO TREASON - Copy - Copy.docx
    35.1 KB · Views: 103
Hujanielewa please. Court of appeal is perfect at least for now! Najua labda zidi ya unavyojua kinachoendelea kwenye judiciary!

Acha kujikweza,

inawezekana unajua sana lakin sio kiwango cha kujua Kiwango cha Ufahamu wa Mwenzio, Kujikweza sio Tabia ya Kiume achana nayo!
 
Mahakama yatupilia mbali maombi ya bodi ya wadhamini CUF

Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri ametoa uamuzi huo baada ya kusikiliza pande zote mbili. Hivyo Bodi ya Maalim Seif ni batili na Mtatiro ni batili.

18582422_10155362517169339_6933549447431220803_n.jpg


18557268_129953667563580_513525014680713158_n.jpg
Mahakama haiwezi ku Report ki Bashite kama hivi
 
Acha kujikweza,

inawezekana unajua sana lakin sio kiwango cha kujua Kiwango cha Ufahamu wa Mwenzio, Kujikweza sio Tabia ya Kiume achana nayo!
mind, mimi siyo Lumumba wa ndiyooooooooo kama wewe, nafikiri sielekezwi cha kufikiri. Kwaheri huwa sijibizani na buku 7
 
mind, mimi siyo Lumumba wa ndiyooooooooo kama wewe, nafikiri sielekezwi cha kufikiri. Kwaheri huwa sijibizani na buku 7

Acha kujikweza, u Genious wa Mtu hauhitaji kujitangaza, ulipaswa kuwa unatema point za uhakika na Jukwaa Zima tungekutambua tu kwa Upekee wako
 
Acha kujikweza, u Genious wa Mtu hauhitaji kujitangaza, ulipaswa kuwa unatema point za uhakika na Jukwaa Zima tungekutambua tu kwa Pekee wako
Hardly do I post frequently on this forum and I am not destined for lecturing
 
Hardly do I post frequently on this forum and I am not destined for lecturing

Nenda zako hukoo!!!

Acha kujikweza mambo ya kusema unajua kuliko Wengine peleka kwny Majukwaa yako wa Wasap au Sebuleni kwako sio hapa!

Wewe andika unachoona kipo sahihi mambo ya kusema unajua kuliko Wengine ni Ushamba wa Kielimu Tena wa kizamani

Ma Jaji wenyewe Tena wakongwe na waliobobea huko Mahakama kuu na ya Rufaa kweny kesi Moja wanaweza kuwa na mtazamo tofauti mpaka mwisho itakuwa Wewe hapa kuleta ujuaji kisa tu kuna Mtu anamtazamo tofauti na wako !
 
Ukisoma vizuri katiba ya Cuf. Kosa lilikua la M Sef, Lipumba alipo jiuzuru ilitakiwa atelekeleze matakwa ya katiba yao. Badala yake akaendelea na mambo muhimu asa ya uchaguzi,, hakufikilia kua Lipumba angerudi. CCM waliliona ilo kosa na wemelitumia na wataendelea kutumia kwani Cuf ni tishio kwao huko Zanzibar
 
Mensah, Kuna obvious cases ambazo hata a certificate student in law anaweza akazitolea uamuzi sahihi. Ukiona unapata contrary to what is obvious, ndiyo hapo....
Mfano, Court of appeal ililaani kunyimwa dhamana Lema kwa ujinga wa Hakimu na (Judge????). Mahakimu ni shida sana (sio wote please) ndiyo maana nchi hii inakwenda kwenye a Nation of failed Justice kama hawa ndio watakuwa new Judges!
Kama unajielewa/msomi nenda kwenye kesi za high court enzi za Lugakingira, Kalegeya, Mlay, Oriyo, Kyando, Mwalusanya , Rutakangwa, Lubuva etc usome hukumu zao walipokuwa high court judges ulinganishe na reasoning ya majaji wa sasa (sio wote please). Angalia hata lugha waliyokuwa wanatumia hao niliowataja linganisha na wa sasa (sio wote tena). The catastrophe is coming!
Mkuu sorry mm sio mtaalamu wa mambo ya sheria na ila nilichoshuhudia kwa miaka ya karibuni kesi nyingi za vyama vya upinzani wakishinda utasikia haki imetendeka ila wakishindwa ama kuambiwa wamekosea kuandaa dhamana bac utasikia haki haikutendeka ama wanasiasa wameingilia maamuzi ya mahakama

Sasa hapo ndio huwa napata wasiwasi ina maana baadhi ya kesi huwa zinaingiliwa na zingine haziingiliwi?

Japo si mwanachama wa chama chochote napenda kuona waafrika kuwa na utaratibu wa kutii na kuheshimu maamuzi ya mahakama sio kila uamuzi ukitolewa kwa anayeshindwa kesi bac utasikia haki haikutendeka na anayeshinda ndio haki imetendeka
 
Mkuu sorry mm sio mtaalamu wa mambo ya sheria na ila nilichoshuhudia kwa miaka ya karibuni kesi nyingi za vyama vya upinzani wakishinda utasikia haki imetendeka ila wakishindwa ama kuambiwa wamekosea kuandaa dhamana bac utasikia haki haikutendeka ama wanasiasa wameingilia maamuzi ya mahakama

Sasa hapo ndio huwa napata wasiwasi ina maana baadhi ya kesi huwa zinaingiliwa na zingine haziingiliwi?

Japo si mwanachama wa chama chochote napenda kuona waafrika kuwa na utaratibu wa kutii na kuheshimu maamuzi ya mahakama sio kila uamuzi ukitolewa kwa anayeshindwa kesi bac utasikia haki haikutendeka na anayeshinda ndio haki imetendeka
You have to make an all inclusive analysis of the issues, not in isolation. Unadhani kuna sababu gani Jaji Mkuu hajachaguliwa mpaka leo? Unadhani huyo Acting anaweza kuwa na maamuzi thabiti wakati akihofia kumuudhi atakayemconfirm! Sembuse hawa mahakimu! Maamuzi yoyote ya mahakama kwa sasa lazima yawe scrutinised kuona kama haki imetendeka. Mahakama ya rufaa huko kuna haki maana hana cha kubembeleza. Kuna sheria nzuri inawalinda katika maslahi hata baada ya kustaafu. HivyoJaji wa Rufaa anaweza akaamua kutenda haki.
 
Lengo la serikali tuendelee kufanya kazi na msaliti tu,ili 2020 asaliti tena,hakuna namna hapo maalim kubali tu haki hutaipata wewe huna nchi ila wapo wenyewe
 
Wakimaliza kupigwa Virungu wanaenda kutafuna Ruzuku Nani angeshindwa ku take that ghost risk?

Ukimuona Lissu Mahakamani kwny kesi za Chadema unajua ni uzalendo?

Wenzio wakirudi ofisni ni Mwendo wa Invoice na Cheque Wewe unakazania eti wame take risk!

Mkuu unasemaje kuhusu rais kusema amejitoa sadaka kwa wananchi huku analipwa mshahara na huduma zote bure?
 
Mkuu unasemaje kuhusu rais kusema amejitoa sadaka kwa wananchi huku analipwa mshahara na huduma zote bure?

Hakuna Kumuamini Mwanasiasa hata akiwa Baba yako au Mtoto wako wa kumzaa.

Masuala ya kusema najitolea sijui na take risk ni hadaa za Kisiasa tu
 
Back
Top Bottom