Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Wakati Mahakama ya Kisutu imetoa arrest warant leo Chenge akamatwe, Kikwete anaingia jimboni kwake Bariadi Magharibi kumnadi kama alivyofanya kwa Mramba na Lowassa.
Mahakama imeona kuwapo kwa JK Bariadi si sababu ya kukosa kwake kufika mahakamani katika kesi yake ya jinai ambapo ana kesi ya kujibu.
Mahakama imeona kuwapo kwa JK Bariadi si sababu ya kukosa kwake kufika mahakamani katika kesi yake ya jinai ambapo ana kesi ya kujibu.