Mahakama yaamuru Mbowe akamatwe

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
WAKATI bado anakabiliwa na kesi ya kufanya maandamano bila kibali mjini Arusha, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ameingia matatani kwa mara nyingine, safari hii Mahakama ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imeamuru akamatwe.

Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai, anatakiwa akamatwe kwa madai ya kushindwa kufika mahakamani kujibu mashitaka yanayomkabili.

Hati hiyo ilitolewa Machi 18, baada ya Mbunge huyo kutohudhuria mahakamani hapo, bila taarifa wala mdhamini wake.

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Denis Mpelembwa, aliagiza kutolewa kwa hati hiyo, baada ya Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Inspekta Kassim Mgwambi kutoa maelezo ya kutohudhuria kwa mtuhumiwa mahakamani hapo, bila hivyo kukiuka masharti ya dhamana.

Mwendesha mashitaka alisema, pamoja na kutoa hati ya kumkamata mshitakiwa huyo, pia alitoa hati ya kumkamata mdhamini wake na kuandikiwa barua ya kuitwa mahakamani kutokana na kushindwa kufuata masharti ya kumdhamini mtuhumiwa huyo.

Awali ilidaiwa kuwa, Mbowe anakabiliwa na mashitaka ya kufanya vurugu na kumjeruhi Msimamizi wa Uchaguzi, siku ya uchaguzi mkuu katika kituo cha Lambo Oktoba 31 mwaka jana.

Inadaiwa mshitakiwa huyo alimshambulia msimamizi huyo, Nasri Othmani na kumsababishia maumivu makali mwilini.

Mbowe ameshitakiwa kutokana na kuvunja kifungu cha sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 240 sura ya 16 ya sheria za Tanzania kutokana na kufanya shambulio hilo katika kijiji hicho saa 11 jioni.

Pamoja na kutolewa hati ya kumkamata mshitakiwa huyo kesi hiyo ilipangwa kusikilizwa Mei 8.

Kwa sasa, Mbowe na viongozi wengine wakuu wa Chadema, wanakabiliwa na mashitaka ya kuongoza maandamano mjini Arusha yaliyolenga kupinga uchaguzi wa Meya wa Manispaa hiyo.

HabariLeo
 
Kazi ya kutafuta ukombozi wa kweli sio lelemama! Yatakwisha haya msivunjike moyo hakuna mapinduzi rahisi ikumbukwe kwamba tunapambana na mtu tuliyempa mtaji sisi wenyewe hivyo tunapaswa kutafuta nguvu za ziada ili kuweza kushinda vita hivi.

Kwa imani na mapokeo tunaamini kwamba hakuna dola iliyodumu milele katika uso wa dunia hii, siku moja nguvu ya umma itachukua mkondo wake.

TUSIKATE TAMAA, NCHI NI YETU NA MUDA WA KUFUKUZA MAMLUKI NDIO HUU.

MAPINDUZI DAIMA!!
 
Wamkamate si anajulikana alipo sihasa za tz mwanzo mwisho cdm watafunguliwa vijikesi mpk basi
 
chenga chenga tuuuu hamna lolote na wata kiona na cdm mwaka huuuu......................................................
 
WAKATI bado anakabiliwa na kesi ya kufanya maandamano bila kibali mjini Arusha, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ameingia matatani kwa mara nyingine, safari hii Mahakama ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imeamuru akamatwe.

Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai, anatakiwa akamatwe kwa madai ya kushindwa kufika mahakamani kujibu mashitaka yanayomkabili.

Hati hiyo ilitolewa Machi 18, baada ya Mbunge huyo kutohudhuria mahakamani hapo, bila taarifa wala mdhamini wake.

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Denis Mpelembwa, aliagiza kutolewa kwa hati hiyo, baada ya Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Inspekta Kassim Mgwambi kutoa maelezo ya kutohudhuria kwa mtuhumiwa mahakamani hapo, bila hivyo kukiuka masharti ya dhamana.

Mwendesha mashitaka alisema, pamoja na kutoa hati ya kumkamata mshitakiwa huyo, pia alitoa hati ya kumkamata mdhamini wake na kuandikiwa barua ya kuitwa mahakamani kutokana na kushindwa kufuata masharti ya kumdhamini mtuhumiwa huyo.

Awali ilidaiwa kuwa, Mbowe anakabiliwa na mashitaka ya kufanya vurugu na kumjeruhi Msimamizi wa Uchaguzi, siku ya uchaguzi mkuu katika kituo cha Lambo Oktoba 31 mwaka jana.

Inadaiwa mshitakiwa huyo alimshambulia msimamizi huyo, Nasri Othmani na kumsababishia maumivu makali mwilini.

Mbowe ameshitakiwa kutokana na kuvunja kifungu cha sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 240 sura ya 16 ya sheria za Tanzania kutokana na kufanya shambulio hilo katika kijiji hicho saa 11 jioni.

Pamoja na kutolewa hati ya kumkamata mshitakiwa huyo kesi hiyo ilipangwa kusikilizwa Mei 8.

Kwa sasa, Mbowe na viongozi wengine wakuu wa Chadema, wanakabiliwa na mashitaka ya kuongoza maandamano mjini Arusha yaliyolenga kupinga uchaguzi wa Meya wa Manispaa hiyo.

HabariLeo

Kama Mwenyekiti anapiga watu ngumi je viongozi wengine itakuwaje
 
WAKATI bado anakabiliwa na kesi ya kufanya maandamano bila kibali mjini Arusha, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ameingia matatani kwa mara nyingine, safari hii Mahakama ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imeamuru akamatwe.

Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai, anatakiwa akamatwe kwa madai ya kushindwa kufika mahakamani kujibu mashitaka yanayomkabili.

Hati hiyo ilitolewa Machi 18, baada ya Mbunge huyo kutohudhuria mahakamani hapo, bila taarifa wala mdhamini wake.

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Denis Mpelembwa, aliagiza kutolewa kwa hati hiyo, baada ya Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Inspekta Kassim Mgwambi kutoa maelezo ya kutohudhuria kwa mtuhumiwa mahakamani hapo, bila hivyo kukiuka masharti ya dhamana.

Mwendesha mashitaka alisema, pamoja na kutoa hati ya kumkamata mshitakiwa huyo, pia alitoa hati ya kumkamata mdhamini wake na kuandikiwa barua ya kuitwa mahakamani kutokana na kushindwa kufuata masharti ya kumdhamini mtuhumiwa huyo.

Awali ilidaiwa kuwa, Mbowe anakabiliwa na mashitaka ya kufanya vurugu na kumjeruhi Msimamizi wa Uchaguzi, siku ya uchaguzi mkuu katika kituo cha Lambo Oktoba 31 mwaka jana.

Inadaiwa mshitakiwa huyo alimshambulia msimamizi huyo, Nasri Othmani na kumsababishia maumivu makali mwilini.

Mbowe ameshitakiwa kutokana na kuvunja kifungu cha sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 240 sura ya 16 ya sheria za Tanzania kutokana na kufanya shambulio hilo katika kijiji hicho saa 11 jioni.

Pamoja na kutolewa hati ya kumkamata mshitakiwa huyo kesi hiyo ilipangwa kusikilizwa Mei 8.

Kwa sasa, Mbowe na viongozi wengine wakuu wa Chadema, wanakabiliwa na mashitaka ya kuongoza maandamano mjini Arusha yaliyolenga kupinga uchaguzi wa Meya wa Manispaa hiyo.

HabariLeo

(a) Hapo kwenye RED naona kuna chembe chembe za UDINI.

(b) Anyway, naomba kuuliza, ivi mbunge ana protection au limitation gani when it comes to arrest?

(c) MAJI MSHINDO acha statements za kizushi, changanua mambo si kuropoka ovyo!
 
(a) Hapo kwenye RED naona kuna chembe chembe za UDINI.

(b) Anyway, naomba kuuliza, ivi mbunge ana protection au limitation gani when it comes to arrest?

(c) MAJI MSHINDO acha statements za kizushi, changanua mambo si kuropoka ovyo!

Sioni udini hapo isipokuwa huo unaouleta. Mbunge hayuko juu ya sheria. Kama hakufika mahakamani taratibu zilizochukuliwa na mahakama ni sahihi. Hata hivyo inawezekana alitoa taarifa kwenye chombo kingine cha sheria kuhusu yeye kutokufika ila haikufika ktk mahakama husika siku ya kesi. Ni Mbowe mwenyewe au mwanasheria wake ndio wenye uwezo wa kutoa ufafanuzi. Tuvute subira.
 
Kama Mwenyekiti anapiga watu ngumi je viongozi wengine itakuwaje

Haki haiombwi wewe mtu hafif,tena bora huyo mbowe kawaonea huruma ingekuwa ni mimi hako ka bwana kangekunya siku hiyo!

Mchakachue matokeo halafu mtegemee watu wawachekee??,..time imefika to bring about a change!
 
Haki haiombwi wewe mtu hafif,tena bora huyo mbowe kawaonea huruma ingekuwa ni mimi hako ka bwana kangekunya siku hiyo!

Mchakachue matokeo halafu mtegemee watu wawachekee??,..time imefika to bring about a change!

Mabadiliko yanatafutwa kwa ugomvi au kufuata taratibu na sheria zilizopo ? acha kuchanganyikiwa kijana
 
Kama Mwenyekiti anapiga watu ngumi je viongozi wengine itakuwaje

Haki haiombwi wewe mtu hafif,tena bora huyo mbowe kawaonea huruma ingekuwa ni mimi hako ka bwana kangekunya siku hiyo!

Mchakachue matokeo halafu mtegemee watu wawachekee??,..time imefika to bring about a change!
 
naona michezo michafu imesha anza, sidhani kama kuna kiongozi CCM anaweza akakamatwa na mahakama, labda akiwa amekorofishana na wenzake
 
Kama Mwenyekiti anapiga watu ngumi je viongozi wengine itakuwaje

Haki haiombwi wewe mtu hafif,tena bora huyo mbowe kawaonea huruma ingekuwa ni mimi hako ka bwana kangekunya siku hiyo!

Mchakachue matokeo halafu mtegemee watu wawachekee??,..time imefika to bring about a change!
 
Hizi kesi kesi za viongozi wa CHADEMA mi nazipenda kweli maana zinakimarisha CHAMA, maana siku ya kesi sisi tunagawa kadi mpya za wanachama - ha ha ha

CCM bado wamelala fofofo hata kujibu hoja ya CHADEMA wameshindwa.
 
Mabadiliko yanatafutwa kwa ugomvi au kufuata taratibu na sheria zilizopo ? acha kuchanganyikiwa kijana
Sheria zipi bana? kuna kufuata sheria kwenye nchi hii? Hata hao wanaojiita watoa haki wao ndio wavunja haki.
Nambie kesi ya jaji Lugazia ya traffic iko wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom