Ndiyo sababu inayofanya awamu hii kutoajiri waalimu wa arts.Ahahaaaa duuuuh. Saiv anavyolegeza shingo na sauti ya uchungu kama anataka kulia kua watanzania tumeumizwa. Kumbe yeye ndiye muumizaji mkubwa. Shame on him.
Kweli historia ni muhimu najuta kuchukia hilo somo
Uzi huu Lumumba fc wanapita kama hawauoni vile!
Duh... kwani tokea amekuwa waziri Magufuli ameshazalisha shs ngapi maana hii hasara wanayoliingizia taifa kwa umbumbumbu wa sheria ni kubwa sana??? ukiachana na biashara ya kuuza nyumba za serikali!
Hiyo pesa ya walipa kodi sababu MAgufuli alikuwa ndo mwakilishi. Nafikiri kuna umuhimu wa mawaziri kupimwa IQ zao vinginevyo watakuja kufilisi taifa kwa maamuzi ya pupa. Tukianzia kwa LOwassa alifuta mkataba wa city water na sasa serikali iko kitanzini
Hiyo pesa ya walipa kodi sababu MAgufuli alikuwa ndo mwakilishi. Nafikiri kuna umuhimu wa mawaziri kupimwa IQ zao vinginevyo watakuja kufilisi taifa kwa maamuzi ya pupa. Tukianzia kwa LOwassa alifuta mkataba wa city water na sasa serikali iko kitanzini
Bwana Mkubwa Magufuli...hatua ile ilikuwa ya kipumbavu kabisa.MOIL walikuwa na kila documents za kuhalalisha kujenga pale lakini wewe ukiwa umelewa madaraka ulidhani una mamlaka ya kuvunja kile moil alikuwa akikijenga kwa jasho lake.sijui ulikuwa unamchukia kwa rangi yake au mafanikio yake ...nobody knows.Wewe ni mtu hatari sana kwa jamii.Kweli inafaa upimwe iq.Nadhani hata JK hatakuvumilia na atakupiga teke sasa hivi.
Shujaa wa africa by prof: SafariNime note vitu vitatu kutoka kwa comments hizi za miaka 10 iliyopita:
1:Hatua ya kipumbavu
2:Kupimwa IQ
3:Umbumbu wa kisheria
4:Chuki kwa rangi yake (kabila lake?)
5:Kuuza nyumba za serikali
6:Hasara kuliko faida
What goes around comes around!
Bado jinamizi litaendelea kutufuata...credit to JF super server!
Fukueni na lingine plz... Hapo bado Lugumi, kivuko na samaki.
Fukueni na lingine plz... Hapo bado Lugumi, kivuko na samaki.
Wakati huo Snake alikuwa mwanasheria mkuu,lazima walikutana baa kupiga 10% ( mansoor+joka la makengeza, dili lilipigwa hapo wajanja wanajua)Uzi huu Lumumba fc wanapita kama hawauoni vile!
Imekula kwake. hayo maamuzi yatabaki kwenye karatasi tuDuh... kwani tokea amekuwa waziri Magufuli ameshazalisha shs ngapi maana hii hasara wanayoliingizia taifa kwa umbumbumbu wa sheria ni kubwa sana??? ukiachana na biashara ya kuuza nyumba za serikali!
Je walidhulumiana katika hili dili? Naona wanakafigisu ka chini kwa chini.Wakati huo chenge alikuwa mwanasheria mkuu,lazima walikutana baa kupiga 10% (dili lilipigwa hapo wajanja wanajua)