CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 285
Alichopanga Mungu bhana mwanadamu hawezi pangua,ndio ilivyo sio kila siku Chadema.
acha kukufuru; rushwa na majaji uchwara vimepangwa na hao MaCCM wenzio.
Alichopanga Mungu bhana mwanadamu hawezi pangua,ndio ilivyo sio kila siku Chadema.
Mahakama ya Rufaa imemrejeshea ubunge mbunge wa Sumbawanga Aesh Hilal leo.
Awali mahakama kuu ilikuwa imemvua ubunge lakini akakata Rufaa.
Mwaka jana Mahakama kuu ilikuwa imekubaliana na aliyekuwa mgombea wa CHADEMA Mwl Norbert Yamsebo aliyekuwa amefungua kesi kupinga ushindi wa Hilal.Mojawapo ya mambo yaliyokuwa yamethibitishwa na mahakama kuu mwaka jana ni matumizi makubwa ya Rushwa.
Unachotaka kukisema sio kweli kabisa. Hukumu ya Lema iko wazi kabisa hata kwa mtu anayeanza kujifunza sheria leo. Ni ubishi tu wa wanaCCM wachache ndio hawataki kuonyesha kukubali.Kwa vyovyote vile Lema angerudishiwa ubunge wake, Kwanini? CCM haikuwa tayari kwenda kwenye marudio ya uchaguzi wa Arusha mjini.Lakini kwa nini Watanzania tunakua na double standards? Mahakama ya rufaa ilivyo rejesha ubunge wa Lema ilipongezwa leo hii kwa vile imerudisha ubunge wa mbunge wa CCM inasemwa vibaya.
Bila aibu Mahakama inajidhalilisha yenyewe kwa tamaa zao! Huku ni kumnyima haki mwananchi mchana kweupeee!
Sad news, Igunga vipi kamanda?
Wameamua kuiweka mizani balance.
Nchi hii hakuna haki kabisa!
Hii biashara ya uteuzi wa majaji unaofanywa na mwenyekiti wa chama cha siasa unafikia ukingoni.
Tunataka free judicial commission!!!
Unachotaka kukisema sio kweli kabisa. Hukumu ya Lema iko wazi kabisa hata kwa mtu anayeanza kujifunza sheria leo. Ni ubishi tu wa wanaCCM wachache ndio hawataki kuonyesha kukubali.Kwa vyovyote vile Lema angerudishiwa ubunge wake, Kwanini? CCM haikuwa tayari kwenda kwenye marudio ya uchaguzi wa Arusha mjini.
Watu wengi humu ni waelewa na wanaweza kupima mambo mbalimbali, ikiwemo ya Kisheria.
Suala la Uchaguzi wa Sumbawanga kila mtu alikuwa anajua CCM mwaka 2010 walicheza faulo nyingi sana ili kupora ushindi.
Na hayo yalidhihirika pia mahakama kuu na mahakama ya rufaa pia ambao Aish alivuliwa ubunge.
Sasa hili la hukumu ya marudio(Review) ya Mahakama ya rufaa la leo, kwa wengi linatia mashaka sana, ndio maana watu wengi wanashtuka.
Kifupi mwenendo wa CCM katika kuchakachua haki za wanyonge katika kila eneo(mahakama zikiwemo) ndio linalotia mashaka kila mpenda haki kuhusu hukumu hii kama kweli Haki ametendeka na je Haki alionekana ikitendeka?
Mbunge wa mahakamani kama LemaAtakua ni mbunge wa 'mahakama'.
i expect something like this before. hakuna haki hapa.