Mahakama ya Rufaa imemrejeshea ubunge mbunge wa Sumbawanga Aesh Hilal leo.
Awali mahakama kuu ilikuwa imemvua ubunge lakini akakata Rufaa.
Mwaka jana Mahakama kuu ilikuwa imekubaliana na aliyekuwa mgombea wa CHADEMA Mwl Norbert Yamsebo aliyekuwa amefungua kesi kupinga ushindi wa Hilal.Mojawapo ya mambo yaliyokuwa yamethibitishwa na mahakama kuu mwaka jana ni matumizi makubwa ya Rushwa.
Awali mahakama kuu ilikuwa imemvua ubunge lakini akakata Rufaa.
Mwaka jana Mahakama kuu ilikuwa imekubaliana na aliyekuwa mgombea wa CHADEMA Mwl Norbert Yamsebo aliyekuwa amefungua kesi kupinga ushindi wa Hilal.Mojawapo ya mambo yaliyokuwa yamethibitishwa na mahakama kuu mwaka jana ni matumizi makubwa ya Rushwa.