dendizzo
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 955
- 1,314
Hahaha kwa lugha nyepesi ni kwamba wamekosa ushahidi au kama wameupata basi kuna chain ya vigogo ambao wao na familia zao hawatakiwi kuguswa.Ofisi ya DPP imesema haina nia ya kuendelea na ksei hiyo ambayo walituhumiwa kulitia hasara Taifa kiasi cha TZS 12.7 bilion