Mahakama ya Kadhi vs BAKWATA!

Mahakama ya Kadhi vs BAKWATA!

MAHAKAMA YA KADHI: jamii ya watanzania tunahitaji ELIMU YA NGUVU kuhusiana na mahakama hiyo hivyo serikali iwape nafasi waislamu waelimishe jamii yetu ili watoe michngo yao kwa uelewa na siyo kutishana, wala kutukanana si vizuri la hasha!!!!!!!!!!!!!!!! watu wengi wanaonekana wanjadili lakini wanonekana hawaelewi wanachomaanisha mwisho wanishia kutusi uislamu na waislamu kwa ujumla. mimi naona hilo ni jambo la msingi lipewe nafasi wwote ni wabongo!!!!!!!!!!!!!!1

Mnataka kutuletea matabaka kama Nigeria, mmeshaambiwa hili ni jambo lenu wenyewe na lipo
mikononi mwenu wenyewe, kwa nini mtushirikishe sisi? Hapa hakuna tusi bali ni kuambiana ukweli
 


hadi nchi iwe 100% islamic laws za kukata mkono kuna vigezo.. mfano 97-99 % ya wananchi awe waislam ... kuna baadhi ya sheria kama za ndoa na mirathi kwetu sisi ni lazima zifatwe...

wewe kama nani hutaki wakati wenyewe twataka...

kuhusu serikali kujivua gamba.. mi nawapongeza .. sasa atlist maaskofu wataacha kuongea maana kilio chao kilikuwa zitatumika kodi zao.. since waislam tumeachiwa hili jambo mikononi mwetu na tumeruhusiwa then watatokea tu matajiri wa kiislam ndani & nje ya tanzania na kudhamini hii mahakama hatushindwi na kwa uwezo wa mola zitaanzishwa...


Kweli mawazo ya nyie ndugu zetu ni tegemezi hata wewe mkuu unawaza watu fulani walioko mahali fulani tena matajiri waje wafadhili mahakama yenu? Kwa nini msichangishane mkaiendesha wenyewe? Sasa hao watakao ifadhili si ndio itakuwa mahakama yao na sio ya Waislam? Wacheni kudhalilisha dini ya haki bana!
 
Kwa jina la YESU ushindwe, ulegee na upotee kama ulivyosema 'upotezewe'
 
Generally saying moslems in tanzania have a lot of grivencies because they think they have been marginalised in varius sector of this country...mi nafikiri kama kweli sisi ni wazalendo wa kweli na kama kweli tunataka kuweka taifa kwanza, basi waislam na wakristo ni watoto halali wa mama Tanzania na wote wana haki sawa kupata urithi sawa wa nchi hii..

Kama kuna makosa ya kihistori a yalifanyika basi its time to rectify..otherwise tanzania haitakua tanzania tunayoitaka kama tu kundii kubwa katika jamii yetu linajihisi limetengwa (att.am not a muslim)
 
Hii dini ina matatizo kama aliyokuwa nayo Mtume Muddy........Manake alikuwa hajui kusoma wala kuandika.
kuanzia Adamu mpaka Muddy hakuna hata Mtume mmoja aliyezaliwa akijua kusoma na kuandika(kabla ya kuwa mtume) ila baadaye ndio hufundishwa. Au kama yupo tuambie.
 
Nyie watu acheni udini. Tuwape wenzetu moyo kwa kugeukwa na kiongozi wa nchi. Kiongozi kama huyo si ajabu kuwageuka watu aliowaahidi kitu, kwanza hata nguo ananunuliwa wakati yeye ni raisi!
 
Tatizo kubwa linalotukabili watanzania wengi ni kukosa Elimu kuhusina na mahakama ya kadhi hao bakwata inatkiwa serikali iwawekee mazingira ya kuelimisha kwanza watu kabla hatujafikia hatua hii ya sasa inaonekana watu wengi hawajelewa wigo wa mahakama hii pia watu wanatakiwa waelezwe waziwazi uwepo wa kitu hiki katika nchi ambazo zina watu wenye imani tofauti kama ilivyo Bongo wao wanapractice vipi? mimi sioni km mahakama hii nini tatizo au ni kero kwa wengine kwani kimsingi watu wengi wanakubali iwepo ila isihusishwe na serikali iwe ya dini.
 
watu wanahitaji kuelimishwa sana kuhusiana na swala la mahakama ya kadhi.
 
Kama wewe na huu utafiti wako unavyoiharibia CDM, kwanza mimi rais hata akiwa Mkiristo au Muislam, kwangu mimi sawa hakuna cha maana, nadhani wewe mpaka povu linakutoka unapenda rais atoke kwenye dini yako sijui itakusaidia nini, jibu kaanalo tu moyoni mkuu

Hujajibu hoja kaka,
 
Mahakama ya kadhi haiwezi kuwa chini ya serikali alah wao anaroho mbaya sana ,atakata mikono watu!kwanza hata wakipewa kutakuwa hamna wateja utaskia hukumu mtu anachapwa viboko 80 pale posta!

mie huwa naudhika sana ninaposoma mawazo mgando kama haya. Ivi uingereza ambapo ipo au south africa kwa hapa africa nani umesikia kakatwa mkono? na akikatwa mkono siatakuwa muislam? wewe ambaye si muislam inakuhusu nini? acheni chuki za kipuuzi.
 
m`bongo
Hakuna vurugu za kidini BONGO na wala hakuna Dini iliyo juu ya nyingine. wewe huelewi unachosema!!
 
Kama mawazo ya waislamu ndiyo haya mtaendelea kuwa watumwa wa kina Gaddafi milele.

Umesahau, na mtume mudy, Osama bin laden(marehemu) mullah (alqaeda kwa ujumla wao) al shabab, ccm na wote wasio na utu.
Uislam naona ni kupoteza wakati na kujiandalia taabu jehanam.

Nadhani wakilala na kuwaza huona vile walivyo jingine na nafsi zao ila basi tu wafanyeje walishazaliwa huko.

Huo Ni mtazamo wangu.
 
masikin jeuri
<br />
<br />
Umesahau, na mtume mudy, Osama bin laden(marehemu) mullah (alqaeda kwa ujumla wao) al shabab, ccm na wote wasio na utu.
Uislam naona ni kupoteza wakati na kujiandalia taabu jehanam
Nadhani wakilala na kuwaza huona vile walivyo jingine na nafsi zao ila basi tu wafanyeje walishazaliwa huko.
Huo Ni mtazamo wangu.





hakuna chama kinachomilikiwa na dini flani vyama vyote vina watu wa dini zote kusema chama flani ni cha dini flani huo ni uhuni wa mchana inaonesha wewe huelewi Dini siyo kuuza sura au kutishana nguo za kubana nyuma dini ni personality
 
Hili swala la mahakama ya kadhi naamini raisi ameshalitolea maelezo ya kutosha,halihitaji mjadala tena.
Atakae hitaji mahakam ya kadhi,ahamie zanzibar akasuluhishe mambo yake huko
 
MAOMBI YANGU MAHAKAMA YA KADHI WAPEWE hata mm ntachangia ili niskie vioja vya Hukumu zitakazo tolewa ,wanawake hakuna kwenda uwanjani, hakuna muislam kuangalia vyombo vya habari vya mangaribi, waislam watazame tv za afghanstan, somali na libya...,

Ukizini ni viboko 80 kama si posta ni ubungo stand,mtoto mdogo wa kike miaka 8 ni halal kuolewa,waislam hakuna kuajiri wakristo makafir ni dhambi kwa allah wao,kujilipua ni mojawapo ya order za mahakama kama muislam amedhulumiwa, i love muhammadans wana utaratibu mzuri kweli wa maisha !
 
MAOMBI YANGU MAHAKAMA YA KADHI WAPEWE hata mm ntachangia ili niskie vioja vya Hukumu zitakazo tolewa ,wanawake hakuna kwenda uwanjani,hakuna muislam kuangalia vyombo vya habari vya mangaribi,waislam watazame tv za afghanstan,somalina libya...,ukizini ni viboko 80 kama si posta ni ubungo stand,mtoto mdogo wa kike miaka 8 ni halal kuolewa,waislam hakuna kuajiri wakristo makafir ni dhambi kwa allah wao,kujilipua ni mojawapo ya order za mahakama kama muislam amedhulumiwa, i love muhammadans wana utaratibu mzuri kweli wa maisha !

Yani we ndo umemaliza kila k2 waislam wana utaratib mzuri kwl wa maisha c kama wakristo yani makanisa yanaruhusu wanaume kuoana wala wakristo hawaoni shida...?! Loooh uzinifu kwao co issue,pombe co ttz, hata maaskof na mapadre wana2mia mweeh...!!! Ila kadhi ndo ttz kubwa kwao jamanooo mbona hv ni vichekesho klk hv vya kuadhib waharif....
 
abdulhalim! nimekukubali sana mkuu una comment zenye akili na nimezipenda.
 
Wakubwa ` mimi ni mgeni ktk uwanja huu lakini ninachokiona kuhusina na mada hii ni kwamba Inahitajika kwanza wanachi waelimishwe nini maana ya kadhi na kwa nini inahitajika na kwanini ipo na inaoperate vipi kwenye nchi zenye watu wengi wasio waislam km vile AMERICA, uingereza, uganda, kenya je serikali hizo zina mchango gani katika mahakama hizo kinachoonekana hapa kwetu ni watu kujadili kitu ambacho hawaelewi bali wanajadili kwa kuogopeshwa, na kuwafanya kujadili kwa kutusi dini na watu wake nadhani haipendezi la hasha serikali inawajibu kuwapa waisalamu nafasi kuelimisha umma ili uelewe.

Hakika ww ni mgeni kweli,kwani umechanganya somo,nafikiri hata wewe unahitaji kuelimishwa kuhusu nini tatizo katika hili swala la mahakama ya kadhi. Tatizo si uanzishwaji wake bali tatizo ni nani aanzishe na iendeshweje ? Waislam wanataka mahakama ya kadhi ianzishwe na iendeshwe na serikali iwe sambamba na mfumo wa mahakama zilizopo.

Wasio waislam wanataka hiyo mahakama ya kadhi ianzishwe na iendeshwe na Waislam wenyewe pasipo kususisha serikali, wapo mazuzu ambao wao mtazamo wao ni kwenye gharama za uendeshaji tu na hao wanakubaliana na madai ya Waislam kwamba ianzishwe. Kwa bahati nzuri Wakristo wengi wanao uwezo mzuri wa kutafakari na wanaielewa Quran vizuri na Hadith wanajua ni nini malengo ya Waislam hata wakirusha ndoana kuonyesha kuwa wao shida yao ni Mahakama ya kadhi kwa ajili ya mirathi na talaka tu.

Ukweli ni kwamba waislam kila walitendalo linatokana na Quran au hadith za marehemu Mohammad, huwezi ingiza aanzisha mahakama ya kadhi ukachagua baadhi ya yalioamrishwa kwenye Quran, janja yao wanataka mahakama hiyo ianzishwe na malengo yao ya usoni ni kuanza kulalamikia utekelezaji wake kwa kadri ya kitabu chao.

Janja hiyo wasomi tumeigundua mapema ndiyo maana hakuna msomi anayepinga uanzishwaji wa hiyo mahakama kwa kadri ambavyo ni sehemu ya ibada ya waislam, kinachopingwa ni kuijumuisha kwenye mfumo wetu wa mahakama kikatiba. WANAO UHURU wa kuianzisha hiyo mahakama hata leo lakini iwe kama chombo chao kwenye cha ibada.
 
generally saying moslems in tanzania have a lot of grivencies because they think they have been marginalised in varius sector of this country...mi nafikiri kama kweli sisi ni wazalendo wa kweli na kama kweli tunataka kuweka taifa kwanza ,basi waislam na wakristo ni watoto halali wa mama tanzania na wote wana haki sawa kupata urithi sawa wa nchi hii..kama kuna makosa ya kihistori a yalifanyika basi its time to rectify..otherwise tanzania haitakua tanzania tunayoitaka kama tu kundii kubwa katika jamii yetu linajihisi limetengwa (att.am not a muslim)

kweli gambagumu,unataka ushindane na mtu ambaye anatumia muda mwingi kukariri quran ili hali mitihani ya shule kwa ajili ya maisha ya baadae haiangalii uwezo wa mtu kukariri vitabu vya dini. Mbona mna mawazo ya ajabu sana, mie nimesoma na waislam ambao nilikuwa naona kimaisha wako juu zaidi yetu, shule haikuwa kitu cha maana zaidi sana wakati huu nawaona wengi wananisaidia kurekebisha gari langu likikorofisha na wengineo ni madeva wa malori.

Sasa mimi kama mkristo niliwakosea nini wao hadi wakabaki vile walivyo. Wote hatukufaulu/lkuchaguliwa lakini mzazi wangu aliamua kunipeleka shule binafsi nikaendelea vema na kufika hapa nilipo, kwa kiasi kikubwa shuleni tulikuwa na waislam wa kutosha lakini out of more than 40 Muslim hawazidi kumi ambao wapo kwenye mfumo rasmi wa ajira kutokana na elimu yao ( wa kiume) the rest na makanika na madereva wa ma semi trailer. Wakristo wamehusika vipi hapo ?
 
Back
Top Bottom