Tetesi: Mahakama ya ICC yafanya maandalizi ya uchunguzi kuhusu yaliotokea Oktoba 29, 2025

Tetesi: Mahakama ya ICC yafanya maandalizi ya uchunguzi kuhusu yaliotokea Oktoba 29, 2025

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,136
Reaction score
96,161

Mahakama ya ICC yafanya maandalizi ya uchunguzi kuhusu yaliotokea October 29,2025​

By the way, hii ni ya sasa au ile ya zamani?
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, (ICC), kupitia Baraza la wanasheria wake, imetangaza kuwa ipo katika hatua za maandalizi ya kuanza uchunguzi nchini Tanzania kwa lengo la kukusanya ushahidi kuhusu matukio muhimu yaliyoripotiwa kutokea kuanzia Oktoba 29, 2025.
 
Back
Top Bottom