Mmmh, kila siku huku kwetu Buguruni vibaka wanauliwa na wananchi wente hasira, hawapewi nafasi ya kusikilizwa. Hata magaidi wa Afghanistan waliuliwa na special forces za Obama passport kupewa haki ya kusikilizwa, ila jana wangepewa nafasi wangeliua zaidi, na huyu angetukana zaidi. Sie tunamsubiri uraiani tuone kama kashika adabu.Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .
Taarifa hiyo inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki
Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki, Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?
View attachment 1825533