Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Mkuu wengi wanashindwa kutofautisha kati ya Ndugai na Spika. I think their naivety makes them so.Ni kipi hapo kigumu mkuu hadi "layman" ashindwe kufahamu?
Mkuu wengi wanashindwa kutofautisha kati ya Ndugai na Spika. I think their naivety makes them so.Ni kipi hapo kigumu mkuu hadi "layman" ashindwe kufahamu?
Jaji anatafutwa na cyprian musiba huku Le mutuz yupo busy na ule utitiri wa waganga wa kienyeji wanahaha vibaya hawana raha wapo tayari hata kulala makaburini mpaka jaji apagawe atoe maamuzi ya kushangaa Dunia ajidhalilishe Taaluma yake.Mkuu hata mahakama imechukizwa na uonevu huu tutegemee haki kufuatwa
Mahakama za Tanzania ni kama hazina consistent katika utendaji wake. Zimengiliwa sana siasa
Hayo pia ni maoni yako. Yako tolerated. Lakini hayaondoi ukweli hiyo Taasisi ya Bunge ndio inawaongoza wote Bungeni. Na ukijifanya mjuaji unashughulikiwa. Lissu kajifanya mjanja habari take anaipata.Kama ni taasisi ndiyo inayotumika basi ni kweli ni mkusanyiko wa vilaza. Ndiyo maana bunge sijui ni bange lazima ni dhaifu sana
Sitarajii kuona haki ya Lissu kwenye hili. Mahakama imejaa hofu kuwatendea haki wapinzani.
Atatuchafulia mahakamakwa uharoKwani Ndugai haitwi naye atoe ushahidi?
Kikundi cha watesi na mawakili wa Serikali ambao wao hawajui kitu zaidi ya kuwabambikia watu kesi tu vichwa vinawauma sanaKwanza inanibidi nimpongeze aliyeandika huu mhtasari wa yaliyojiri mahakamani. Kama ni wewe 'Mwananamwa' mleta mada; nakupongeza kwa kufanya kazi nzuri iliyonyooka na kueleweka na kuiwasilisha hapa JF.
Ni kazi inayosomeka vizuri na kueleweka, hasa kuhusu maelezo aliyoyatoa Msomi Kibatala. Huko mwisho mwisho hapakueleweka vizuri walipokuwa mawakili wa serikali wakieleza ya kwao. Hii inawezekana mwandishi alikuwa kaanza kupoteza umakini kutokana na uchovu au mawakili hawakufanya kazi nzuri katika uwasilishaji wao.
Pili, kutokana na yaliyowasilishwa, ni matumaini yangu makubwa kwamba sheria haitapindishwa hapa kwa sababu za kisiasa. Hii mahakama ni lazima ionekane inatenda haki.
Sitegemei kamwe kuona mizengwe katika hili.
Tatu, natamani maeneo yote nchini waliko wasomi wetu wote katika nyanja mbalimbali wakifanya kazi zao kwa umakini kama hawa mawakili akina Kibatala. Huu ni mfano wa kuigwa sana sehemu zote.
Mmejazäna vyumba vya mahakäma na kusähau kampeni za uchaguzi serikali za mitaa. Mkishindwa mnatafuta mchawi.Kabisa Mkuu wanamuhofia yule dhalimu anayeteka, kutesa, kubambikia lesions hata KUUA ili tu kutimiza matakwa yake na kuwakomoa wale wasiokubaliana na maovu yake mbali mbali nchini.
Mmejazäna vyumba vya mahakäma na kusähau kampeni za uchaguzi serikali za mitaa. Mkishindwa mnatafuta mchawi.
Aliyewaroga Mungu ambariki kwa kweli.
Hapa sijui unataka kusema nini! Au ndo yale yale ya huyo huyo Ndugai kwamba hataki kufanya kazi na Prof Asadi ila atafanyakazi na CAG!Mkuu wengi wanashindwa kutofautisha kati ya Ndugai na Spika. I think their naivety makes them so.
Mmejazäna vyumba vya mahakäma na kusähau kampeni za uchaguzi serikali za mitaa. Mkishindwa mnatafuta mchawi.
Aliyewaroga Mungu ambariki kwa kweli.
Ha ha ha ni Kama Vile Kesi imeshaisha sentesi murua sanaaa hiyo.Mhe Jaji: Sasa Hapo Umesoma Nini Na Unatetea Nini Hapa ? Kasome Katiba Kifungu Cha 71 katiba ya JMT inasemaje...
Uchafu tu! Yaani ukiwa na mdomo mkubwa ndo unabobea?
Tutarajie isidingo la aina hiyo...Mara paap, mahakama yatoa amri ya kusitisha kwa muda kuapishwa kwa mbunge naniliu! Mara paap, amri ya mahakama yakimbizwa idodomya kwa kutumia ndege ya kukodi na nakala ya amri ikitumwa kwa whatsapp, email, n.k kwenda kwa anuani za mjengoni na kwa ofisi ya sabwuufa! Mara paap, wapokea nyaraka wa ofisi ya sabwufa wote wana udhuru, hawajafika kwa ofisi. Mara paap! Subwufa anaingia mjengoni, Dua inasomwa, na shughuli za mjengoni zinaanza!
Hivi nimeandika nini jamani? Kama naota vile!???
Naomba niwasaidie kujibu mkuu.Kwani kampeni zisharuhusiwa??Mmejazäna vyumba vya mahakäma na kusähau kampeni za uchaguzi serikali za mitaa. Mkishindwa mnatafuta mchawi.
Aliyewaroga Mungu ambariki kwa kweli.