LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Mawakili wa serikali wanatia huruma sana dar...
Kuna wakati ndoto zinakuwaga kweli... Bunge liko Dodoma na mahakama iko Dsm na wanasemaga "government works on paper"Mara paap, mahakama yatoa amri ya kusitisha kwa muda kuapishwa kwa mbunge naniliu! Mara paap, amri ya mahakama yakimbizwa idodomya kwa kutumia ndege ya kukodi na nakala ya amri ikitumwa kwa whatsapp, email, n.k kwenda kwa anuani za mjengoni na kwa ofisi ya sabwuufa! Mara paap, wapokea nyaraka wa ofisi ya sabwufa wote wana udhuru, hawajafika kwa ofisi. Mara paap! Subwufa anaingia mjengoni, Dua inasomwa, na shughuli za mjengoni zinaanza!
Hivi nimeandika nini jamani? Kama naota vile!???
SawaNimeipenda avatar
Ni mtazamo wako na hauondoi ukweli kuwa maamuzi ya Ndugai ni ya kitaasisi na ndio maana hashtakiwi Ndugai. Yanahojiwa maamuzi ya Spika. For a layman it's very difficult to comprehend.Maamuzi aliyotoa Ndugai hayapo katika sheria zataasisi anayoiongoza hivyo ni yake na ndio matumizi mabaya ya madaraka.
Kanuni zote hajafuata hivyo aje tuu atoe ushahidi.
Kama Mkapa aliitwa kutoa ushahidi kesi ya Mahalu itakuwa Ndugai?
Ni kipi hapo kigumu mkuu hadi "layman" ashindwe kufahamu?Ni mtazamo wako na hauondoi ukweli kuwa maamuzi ya Ndugai ni ya kitaasisi na ndio maana hashtakiwi Ndugai. Yanahojiwa maamuzi ya Spika. For a layman it's very difficult to comprehend.
Nimeshangaa sana nilipojisomea kule titwer wanajichanganya sana hawa mawakili uchwara WA serikali.Mawakili wamekiri kuwa Lissu aliwaandikia Barua akiwa Nairobi na Belgium
Wanaulizwa anafanya nini
Wanajibu hawajui
Mhe Jaji: Barua aliziandika Akiwa wapi?
Wakili wa Serikali: Aliandika Nyingine akiwa Nairobi na Nyingine Akiwa Ubelgiji
Mhe Jaji: Huko Alikuwa anafanya Nini?
Wakili wa Serikali: Hatujui, hakulitaarifu Bunge
Mawakili gani aliwaandikia waliojibu hivo? Please
Wanasema eti haki itendeke na ionekane imetendekaMahakama ya Tanzania ni huru na haijawahi kuacha kutenda haki. Mimi kinachonishangaza ni kwamba wakishinda watu fulani mahakama imetenda haki lakini wakishindwa mahakama haijatenda haki! Hii siyo sawa hata kidogo.
Kama ni taasisi ndiyo inayotumika basi ni kweli ni mkusanyiko wa vilaza. Ndiyo maana bunge sijui ni bange lazima ni dhaifu sanaNdugai alitoa maaamuzi kama Taasisi not as a person. Na Taasisi hiyo ndio iko mahakamani. For laymen ni ngumu kutofautisha.