Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Mahakama imetenda hakiSafi sana. Na tukirudia lazima tuwakalishe chini
Mahakama imetenda hakiSafi sana. Na tukirudia lazima tuwakalishe chini
Sio udokta mkuu, ila huyu wa kwetu hakubaliki kihivyo, ningefurahia sana Chadema wangemsimamisha mwingineOkay nimekusoma mkuu...au kwakuwa yule wa ccm ni Dr?
Kwa mf.kama nani labda? pia cdhani kama sheria inaweza kuruhusu akasimamishwa mtu mwingine...kama uchaguzi utarudiwaSio udokta mkuu, ila huyu wa kwetu hakubaliki kihivyo, ningefurahia sana Chadema wangemsimamisha mwingine
tutaona labda wapeleke jeshi, vifaru na mbwa kama zanzibarHapa Kazi Tu lazima iwatoe makamasi
Hapo ndipo ulipo mtafaruku ulipo, na ndio mantiki ya kauli ya Tundu Lisu inaonekana.Itakuwaje na mikutano ya kisiasa ni Mpaka 2020,?au uchaguzi utarudiwa bila kampeni?
Basi kama wakenya walipiga kura ni udhaifu wa serikali, maana ndo ilivyokuwa inatoa vitambulisho vya mpiga kura, inakuwaje wakenya wapewe vitambulisho ili hali si watanzaniaNilishawahi andika hii kitu.Kuwa Arusha na Kilimanjaro kulikuwa na wapiga kura toka Kenya.OFFCOURSE MODERATOR hakunikawiza akafuta huo uzi mara moja.nA KULE MKOA wa Mara walikoshinda CHADEMA kwa kuangalia jicho la pili kama wakenya hawakupiga kura.
Tusuburi sasa tuanze kupima serikali na upinzani nani anakubalika kupitia chaguzi ndogo. Kutakuwa na mengi ya kujifunza kwa matokeo yoyote yale.
kumbuka hizi ni enzi za hapa kaziHata wakairudia kule hawa hawana chao
Hahahaaa eti hapa kazini tu , kazi gani kama sukari tu imemshinda kushusha bei ? kama kazi hata punda anafanya lkn haimnufaishi ...arusha lazima mtembelee magoti ...kumbuka hizi ni enzi za hapa kazi
NAFIKIRI BADO UKO MBUGANI NJOO MJINI UTAONA UKWELIHahahaaa eti hapa kazini tu , kazi gani kama sukari tu imemshinda kushusha bei ? kama kazi hata punda anafanya lkn haimnufaishi ...arusha lazima mtembelee magoti ...
Basi kama wakenya walipiga kura ni udhaifu wa serikali, maana ndo ilivyokuwa inatoa vitambulisho vya mpiga kura, inakuwaje wakenya wapewe vitambulisho ili hali si watanzania