Mahakama kuu Arusha yamvua ubunge Onesmo Ole Nangole (CHADEMA), yaamuru uchaguzi urudiwe

Hahahahahaaaaa! Kwa akili yako unaona kuwa Mkuu wa Mkoa ni Mtumishi wa umma?
Makamanda mahakama imetenda haki!
Muda wa siasa umeisha, hapa kazi tu.

Tusuburi sasa tuanze kupima serikali na upinzani nani anakubalika kupitia chaguzi ndogo. Kutakuwa na mengi ya kujifunza kwa matokeo yoyote yale.

Ndo mana nasema huna unalolijua,
Piga kimya, unaendelea kutapika nyululu za juzi.

Aibu mkuu, aibu ya mwaka hii,
 
CCM wana nafasi kubwa ya kushinda safari hii maana yule mgombea wao anakubalika zaidi ya huyu mbunge aliyetenguliwa ushindi.
Kushinda kwake kulikuwa kwa sababu ya upepo wa lowassa tu, na upepo huo umetulia kwa sasa
thubutuuuu...mnakaa asubuh tu ...sasa hv watu wameshajua kumbe hata umchague malaika kuiongoza nchi hii kupitia ccm anageuka kuwa shetani ...ccm arusha msahau...yaan mtaumbuka kweupeeee
 
CCM wana nafasi kubwa ya kushinda safari hii maana yule mgombea wao anakubalika zaidi ya huyu mbunge aliyetenguliwa ushindi.
Kushinda kwake kulikuwa kwa sababu ya upepo wa lowassa tu, na upepo huo umetulia kwa sasa
ndotoo za mchanaaa hizooo....sisi tupo eneo la tukio kabisa hapa....CCm hawana chao hapa tena wamewpa watu hasira zaidiii....Arusha na CCm wapi na wapi mkuu! labda ingekuwa Tabora.
 
Kesi iliyokuwa inaunguruma kuanzia tarehe 29.02.2016 katika mahakam kuu jijini Arusha imetolewa hukumu leo hii

Katika shauri hilo aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM jimbo la Longido Dr KIRUSWA alifikisha mahakamni shauri hilo la kupinga matokeo ya ushindi dhidi ya mbunge wa Longido mh ONESMO NANGOLE.

Akisoma hukumu hiyo,Jaji MWAGESI alisema kwamba mlalamikaji ndugu Kiruswa aliwakilishwa na Wakili msomi Dr.Masumbuko Lamwai na Wakili Haraka.

Katika shauri hilo,dai la msingi la mlalamikaji bwana Kiruswa lilikua ni
1.Kutumika kwa lugha ya matusi na kashfa wakati wa kampeni kutoka kwa mh Onesmo Nangole

2.Kuwepo kwa wapiga kura kutoka nchi jirani ya Kenya walioletwa na Mh Nangole

3.kutumika kwa magari ya Chadema kwenye kusindikiza na kubebea masanduku ya kupigia kura

4.Mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza matokeo baada ya mgombea wa CCM kutolewa nje.

5.Kutokea kwa vurugu ndani ya chumba cha kuhesabu matokeo

Kutokana na madai hayo na kwa kuzingatia kanuni,sheria na ushahidi uliotolewa pamoja na vielelezo na mashahidi wa pande zote mbili,Jaji kutoka mahakama kuu Bukoba Mh.Jaji Mwagesi alisema;

"Kutokana na kuzingatia viini vyote vya shauri hili kama vilivyosikilizwa na kwa mujibu wa sheria,Natamka kwamba;

Mahakama hii imetengua shauri hili na kwa kujirisha kwamba mchakato mzima haukuwa wa haki na huru hivyo mahakama inaamuru uchaguzi urudiwe upya.

Siku ya Sheria mwaka 2016!
 
Safi sana. Na tukirudia lazima tuwakalishe chini
Naomba niseme ukweli tuliowaacha U Dc vigezo havikutosha" hahhhaa utaishia kushinda JF na kuuza nguo Lumumba other wise urudi shule..bahati mbaya umri umekutupa ila Elimu haina mwisho......
 
Ccm awawez kukubali maana itakuwa wamewapa chadema semu ya kutoa ya moyon
 
Haya haya hayaaa, kumekucha Wanalongido. Mpeni zawadi JPM kwa kazi kubwa ambayo ameifanya kwa taifa hili kwa kumchagua Dr. Kiruswa, waziri mtarajiwa. Awamu hii ni ya ma-Dr. na ma-Proff. Achaneni na vihiyo, shauri yenu. Mtu anahojiwa elimu yake mahakamani, kwamba amedanganya, aibu. Msirudishe aibu hii bungeni.
 
Acha kukurupuka wewe na kuonyesha utaahira wako hadharani. Msome CCM mwenzio hapa.

Mimi ni CCM ila kwa Arusha hata uchaguzi urudiwe mara ngapi hatuwezi kumshinda Chadema.. Tena ndio mkoa wa Lowassa hata iweje CCM hatushindi..


Mkuu unakumbuka matokeo yaliyopita ya jimbo hilo?
 
thubutuuuu...mnakaa asubuh tu ...sasa hv watu wameshajua kumbe hata umchague malaika kuiongoza nchi hii kupitia ccm anageuka kuwa shetani ...ccm arusha msahau...yaan mtaumbuka kweupeeee
Umefikiri vibaya kudhani miye CCM, siyo kweli.
Mgombea wa CCM ni mzuri kuliko Onesmo Nangole kwa vigezo vyote vya kitaalam.
Ila hii ya Mkuu wa kaya kuwatenga wamasai kwenye teuzi zake zote inaweza ikaibeba ukawa, tofauti na hapo kampeni safi zikifanyika na mtu akachaguliwa kwa sifa yake basi CCM watashinda.
Kumbuka kuna kelele za kusema lowassa na Nangole wote ni wameru
 
Umefikiri vibaya kudhani miye CCM, siyo kweli.
Mgombea wa CCM ni mzuri kuliko Onesmo Nangole kwa vigezo vyote za kitaalam.
Ila hii ya Mkuu wa kaya kuwatenga wamasai kwenye teuzi zake zote inaweza ikaibeba ukawa, tofauti na hapo kampeni safi zikifanyika na mtu akachaguliwa kwa sifa yake basi CCM watashinda.
Kumbuka kuna kelele za kusema lowassa na Nangole wote ni wameru
Okay nimekusoma mkuu...au kwakuwa yule wa ccm ni Dr?
 
lizaboni kati ya watu wasiojielewa ww ni mmoja wapo .

ulivyohairishwa uchaguzi wa arusha mjni ukajitapa mtshinda lema ingawa ana madiwani weng
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom