Mahakama kuingia likizo tarehe 15 Disemba 2018 hadi tarehe 31 Januari 2019

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,234
Mahakama kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaanza likizo ya kimahakama kuanzia Jumamosi ya tarehe 15 December 2018 hadi tarehe 31 January 2019. Katika kipindi hicho mahakama itashughulikia kesi zile zenye udharula tu. Na kwa upande wa Mahakama ya hakimu mkazi na wilaya itashughulikia kesi za madai zile za dharula tu.

IMG-20181210-WA0155.jpeg
 
Mahakama ya Tanzania imetangaza likizo ya kimahakama itakayoanza tarehe 15 December 2018 hadi 31 January 2019. Katika kipindi hicho cha likizo mahakama haitashughulika na kesi zozote isipokuwa zile kesi zenye udharura.
 
Lengo limetimia(uneless kesi yake itastahii huo udharura),vinginevyo ndio hivyo ila tujue katika mapambano ya kutafuta haki na usawa, ni lazima kuna watu wataumia na kuteseka kwa faida ya walio wengi.

Niwataarifu tu,huu ni mwanzo kwani watakaoendelea kuumia na kuteseka ni wengi ila tukumbuke kila kitu kina mwisho.

Baada ya hapo,sitashangaa wakitamka kuwa hawana nia ya kuendelea na kesi maana watakuwa wametimza lengo lao.

Gharama ya kulipa bado ni kubwa sana huko mbeleni na hii ni sehemu ndogo tu ya gharama ya awali tutakayoilipa huko siku za usoni-tujiandae.

Hata hivyo,ni jambo la kushangaza kwa utaratibu huu wa chombo hiki nyeti kwenda mapumziko ya muda wote huo ila hali watumishi wengine wote wa umma hawana mapumziko ya aina hii.
 
Mahakama kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaanza likizo ya kimahakama kuanzia Jumamosi ya tarehe 15 December 2018 hadi tarehe 31 January 2019. Katika kipindi hicho mahakama itashughulikia kesi zile zenye udharula tu. Na kwa upande wa Mahakama ya hakimu mkazi na wilaya itashughulikia kesi za madai zile za dharula tu.

View attachment 963572
Kwa hiyo kwa maana nyingine mbowee na buu laya wataendelea kunya kwenye ndoo kama kawaida hadi hiyo 31 january...
 
Lengo limetimia ila ndio hivyo katika mapambano ya kutafuta haki na usawa, ni lazima kuna watu wataumia na kuteseka kwa faida ya walio wengi.
Imeshawahi kutokea mahakama kwenda likizo tena kwa mda mrefu hivo?
Nadhani hii likizo ya miezi takribani miwili huwa ipo kila mwisho wa Mwaka.
Wakifungua tena mahakama kunakuwa na sherehe...si ndio ile Magu aliwapa mabilioni akawaambia anataka kuona kesi za kodi zinaisha naye apate chake?
 
Lengo limetimia ila ndio hivyo katika mapambano ya kutafuta haki na usawa, ni lazima kuna watu wataumia na kuteseka kwa faida ya walio wengi.

Baada ya hapo,sitashangaa wakitamka kuwa hawana nia ya kuendelea na kesi maana watakuwa wametimza lengo lao.

Hata hivyo,ni jambo la kushangaza kwa utaratibu huu wa chombo hiki nyeti kwenda mapumziko ya muda wote huo ila hali watumishi wengine wote wa umma hawana mapumziko ya aina hii.

Ila LAANA KWAO hao wachache wanaotesa wenzao Kwa makusudi kabisa (huku wakijua kabisa kuwa wanachotenda si haki) ITAWATAFUNA WAO NA VIZAZI VYAO HATA KIZAZI CHA TATU NA CHA NNE.
 
Back
Top Bottom