Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,082
- 13,958
Isipokuwa kesi za dharula,mheshimiwa bado kuna kanafasi kama kesi yako ni ya dharula.
Dah waache wanyee ndoo wachawi kabisa, hasa mbow kaumiza saba watu na utapeli wakeKwa hiyo kwa maana nyingine mbowee na buu laya wataendelea kunya kwenye ndoo kama kawaida hadi hiyo 31 january...
ndio maana wakili wa jamhuri alikua anaizungusha na kuichelewesha kesi ili mbowe awe segerea krismass........Mahakama kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaanza likizo ya kimahakama kuanzia Jumamosi ya tarehe 15 December 2018 hadi tarehe 31 January 2019. Katika kipindi hicho mahakama itashughulikia kesi zile zenye udharula tu. Na kwa upande wa Mahakama ya hakimu mkazi na wilaya itashughulikia kesi za madai zile za dharula tu.
View attachment 963572
bulaya ameolewa?Namwonea sana huruma mume wa huyo dada maana anakosa haki zake za msingi hivi hivi haki ya mungu..
Hata kama hajaolewa lakini hawezi kosa anaemrekebisha afyabulaya ameolewa?
Watumishi wa mahakama wanafanya kazi nchi gani vile?Lengo limetimia(uneless kesi yake itastahii huo udharura),vinginevyo ndio hivyo ila tujue katika mapambano ya kutafuta haki na usawa, ni lazima kuna watu wataumia na kuteseka kwa faida ya walio wengi.
Niwataarifu tu,huu ni mwanzo kwani watakaoendelea kuumia na kuteseka ni wengi ila tukumbuke kila kitu kina mwisho.
Baada ya hapo,sitashangaa wakitamka kuwa hawana nia ya kuendelea na kesi maana watakuwa wametimza lengo lao.
Gharama ya kulipa bado ni kubwa sana huko mbeleni na hii ni sehemu ndogo tu ya gharama ya awali tutakayoilipa huko mbeleni-tujiandae.
Hata hivyo,ni jambo la kushangaza kwa utaratibu huu wa chombo hiki nyeti kwenda mapumziko ya muda wote huo ila hali watumishi wengine wote wa umma hawana mapumziko ya aina hii.
Huyu mtu siku anatangulia mbele za haki mimi nikiwa hai,siku hiyo nitaitumia kumshukuru Mungu na wala sio kusikitika.jiwe akimaliza muda wake akikaa akifikiria aliyoyafanya yatamtesa sana kisaikolojia.
labda kama anaroho ya paka.
Kua hai na afya njema ni zaid ya Xmass na NewyearMaskini Freeman Mbowe na Ester Xmass na New Year wanakula ndani.
Wauaji wanapeta mtaani alafu lile jitu kila Jumapili liko madhabahuni.Mbowe target
Isitoshe,hata Lema walimuweka ndani miezi minne lakini leo hii kapungukiwa nini au amebadilika nini?Kua hai na afya njema ni zaid ya Xmass na Newyear
ni kawaidaImeshawahi kutokea mahakama kwenda likizo tena kwa mda mrefu hivo?
hapana, zile za dharura na zenye ulazima wa kusikilizwa..Ila Criminal Cases zimeandikwa kwamba zitaendelea