Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Yes tunawalea mafisadi wa Lugumi,Ndio maana mnalea MAFISADI kwa kisingizio u dont live in the pat.....MTASUBIRI SANA KUTAWALA NCHII MPAKA HAPO mtakapo badilika kwa aina ya SIASA mnayoiyendesha ndani ya NCHI hii.....
Tunamlea fisadi aliyeuza nyumba za serikali,
Tunamlea fisadi aliyenunua kivuko kilicho chini ya kiwango.