Mahafali ya CHASO mkoa wa Kilimanjaro

Mahafali ya CHASO mkoa wa Kilimanjaro

Huko hawatagusa maana asilimia kubwa ni chadema ila Dodoma,Singida na Katavi wengi wao ni ccm hivyo hawatawaruhusu maana mnawabadilisha mawazo
Huko ndiko kwenye mitaji yao mikubwa.
Hii inanikumbusha lastime nilipita kule mtera kuna Kijiji kimoja nikasimama kutafuta huduma dukani, kuingia dukani giza nene nikamuuliza yule mama muuza umeme umekatika muda gani akaniambia huku hatuna umeme wala hana muda nao lkn hapo nje waya za umeme zimepita tena za single phase.

Sasa hawa ndiyo hawatakiwi kuamshwa ktk nchi hii nyie mnaofikiria zaidi yao mnaonekana wakorofi.

Chukulia mfano in a family ambayo kati yenu kuna mmoja anayeongea ukweli huwa anapigwa zengwe kwamba ni mkorofi, atatengwa atazushiwa mambo kibao ili aonekane hafai ktk jamii ili hawa matapeli wafanye wanayotaka kufanya
 
Polisi wameshaanza uchokozi hapa Keys Hotel. Kuna Landover TDI imeegeshwa getini kuwatisha watu!
 
Polisi wameshaanza uchokozi hapa Keys Hotel. Kuna Landover TDI imeegeshwa getini kuwatisha watu!
Hahahahaha, sasa kama watu wamekodisha kufanya mahafali yao hapo nayo hawataki?

Sasa nazidi kukubaliana na jamaa yangu aliyokuwa ananiambia kipindi cha uchanguzi kwamba kichaa anagombea urais
 
NDIO maana tunasema CDM chungeni VINYWA VENU mnalea vizazi vya UWONGO mno kila kukicha na NDIO MAANA ni ngumu sana kuhaminika kwa WATANZANIA...ivi kumbe UTAWALA ULIOPITA ULIKUWA WA KATIBA NA SHERIA????sasa kilichokuwa kinawaliza ni nini????..Hivyo kutokana na uvigeu geu wenu huu ndio maaana hata ya WATANZANIA walio wengi hawa wapi ushirikiano zaidi ya kuwaona nyie ni wanafiki mliopitiliza...Hata kwenye hizi lawama zenu juu ya RAIS wa sasa hawawezi kuwaamini kamwe......
Labda kawaambie maiti maneno hayo. Halafu CDM usiwasingizie mimi ni mchangiaji huru. Wewe unachangia toka Lumumba kila la heri ndiyo maana akili zako zimeshikiliwa.
 
Labda kawaambie maiti maneno hayo. Halafu CDM usiwasingizie mimi ni mchangiaji huru. Wewe unachangia toka Lumumba kila la heri ndiyo maana akili zako zimeshikiliwa.
Siku zote ukweli mchungu...Afu endeleeeni kukariri kila mtu ni wa LUMUMBA......
 
Hasa wewe maana haki zako huzijui, kama unazijua uko tayari kuzikasimu, huo ndio ulumumba.
HAKI ZANGU NAZIFAHAMU SANA MKUU na nina zipata maana siishi kwa jasho la mtu....Kingne hizo haki unazo lilia wewe haziwezi letwa na aina ya VIONGOZI waliopo ndani ya chama chako kwa sasa......
 
Natoka K's Hotel sasa hivi ambako mahafali ya CHASO yalipangwa kufanyika.Nimefika hapo saa 11:30 am hivi na kukuta polisi wamezuia mahafali.Sababu ya kuzuia mahafali hayo ni kwamba YAMEKAA KICHAMA.Tumeongea na RCO amesema hakuna mkutano wa kisiasa,mahafali za kisiasa zitakazofanyika katika eneo lake la kazi.

Kuhusu mahafali kuwa ya kichama,tumemuuliza kwa nini jana CCM walifanya mahafali hayo ya kichama na hawakuzuiwa?....Kasema tu iyo ni IRINGA na hii ni Moshi.
 
Hivi kuna tija gani kufanya mahafali kwa sura ya kichama. Nauliza kuna umuhimu kwa mwanafunzi aliyesomeshwa kwa shida na mzazi wake tangu STD I. .kulipa ada na mahitaji yote muhimu hadi Chuo kikuu. .na pengine akapewa mkopo na SERIKALI. .halafu huyu mwanafunzi akafanyiwe mahafali na Chadema. ?
Kuna positive impact gani atakayoipata mwanafunzi huyu au mzazi wake kufanyiwa mahafali na Chadema!
Kama ni vijana waliodhaminiwa na Chadema kusoma kuna point. .kama sivyo mi naona ni kick tu za kisiasa. .na zaidi ya yote hao wanafunzi kama wanakubali kutumika hivyo. .hakuna walichoelimika shuleni. .aidha wameenda tu shule kwa bahati mbaya,vyuo vya hovyo, kwa akili za hovyo, na kwa matokeo ya hovyo.

Unasomeshwa na mzazi wako au sponsor wako. .halafu unaenda kufanyiwa mahafali na Chadema? ???
 
Hivi kuna tija gani kufanya mahafali kwa sura ya kichama. Nauliza kuna umuhimu kwa mwanafunzi aliyesomeshwa kwa shida na mzazi wake tangu STD I. .kulipa ada na mahitaji yote muhimu hadi Chuo kikuu. .na pengine akapewa mkopo na SERIKALI. .halafu huyu mwanafunzi akafanyiwe mahafali na Chadema. ?
Kuna positive impact gani atakayoipata mwanafunzi huyu au mzazi wake kufanyiwa mahafali na Chadema!
Kama ni vijana waliodhaminiwa na Chadema kusoma kuna point. .kama sivyo mi naona ni kick tu za kisiasa. .na zaidi ya yote hao wanafunzi kama wanakubali kutumika hivyo. .hakuna walichoelimika shuleni. .aidha wameenda tu shule kwa bahati mbaya,vyuo vya hovyo, kwa akili za hovyo, na kwa matokeo ya hovyo.

Unasomeshwa na mzazi wako au sponsor wako. .halafu unaenda kufanyiwa mahafali na Chadema? ???
Waliofanyiwa na CCM iringa jana wenyewe unawaweka kundi gani?
 
Hivi kuna tija gani kufanya mahafali kwa sura ya kichama. Nauliza kuna umuhimu kwa mwanafunzi aliyesomeshwa kwa shida na mzazi wake tangu STD I. .kulipa ada na mahitaji yote muhimu hadi Chuo kikuu. .na pengine akapewa mkopo na SERIKALI. .halafu huyu mwanafunzi akafanyiwe mahafali na Chadema. ?
Kuna positive impact gani atakayoipata mwanafunzi huyu au mzazi wake kufanyiwa mahafali na Chadema!
Kama ni vijana waliodhaminiwa na Chadema kusoma kuna point. .kama sivyo mi naona ni kick tu za kisiasa. .na zaidi ya yote hao wanafunzi kama wanakubali kutumika hivyo. .hakuna walichoelimika shuleni. .aidha wameenda tu shule kwa bahati mbaya,vyuo vya hovyo, kwa akili za hovyo, na kwa matokeo ya hovyo.

Unasomeshwa na mzazi wako au sponsor wako. .halafu unaenda kufanyiwa mahafali na Chadema? ???
Hata Mke ukimtaka lazima uquantify gharama za mzazi kukusomesha. Tumelogwa na nani??!
 
Hivi kuna tija gani kufanya mahafali kwa sura ya kichama. Nauliza kuna umuhimu kwa mwanafunzi aliyesomeshwa kwa shida na mzazi wake tangu STD I. .kulipa ada na mahitaji yote muhimu hadi Chuo kikuu. .na pengine akapewa mkopo na SERIKALI. .halafu huyu mwanafunzi akafanyiwe mahafali na Chadema. ?
Kuna positive impact gani atakayoipata mwanafunzi huyu au mzazi wake kufanyiwa mahafali na Chadema!
Kama ni vijana waliodhaminiwa na Chadema kusoma kuna point. .kama sivyo mi naona ni kick tu za kisiasa. .na zaidi ya yote hao wanafunzi kama wanakubali kutumika hivyo. .hakuna walichoelimika shuleni. .aidha wameenda tu shule kwa bahati mbaya,vyuo vya hovyo, kwa akili za hovyo, na kwa matokeo ya hovyo.

Unasomeshwa na mzazi wako au sponsor wako. .halafu unaenda kufanyiwa mahafali na Chadema? ???


Moja kati ya maandishi yaliyoenda Shule niliyowahi kuyasoma hap JF forums, maswali ya msingi sana, jana tumeona Lowasa ametumia muda kusema kwamba hatambui Serikali ya JMTZ sasa hii kama siyo Siasa ni nini? Ni Seriklai gani Dunia hii itavumilia ujinga kama huu?

Kwa nini wao chadema kama vile wanavyomtaka Raisi afanye xyz hawajawahi kumuonya Lowasa au hata kukana au kujitenga na kauli ya fisadi Lowasa kuhusu kutomtambua Raisi wa JMTZ na kwamba aliibiwa kura?
Sasa kama hawamtambui Raisi wa JMTZ ni kwa nini wanamtaka Raisi huyo awasikilize?
 
Naona kipindi hiki mmeamua kweli kuhamisha magoli...MBNA SIKU ZA NYUMA MLIKUA HAMFANYI HIVI.....huku ni kutafta HEADLINE tuh mnataka mvunje sheria kupitia haya mashirikisho JESHI LA POLISI lije muonekane mnaonewa.....
Kwani graduation ni siasa.?
 
MOSHI KIMENUKA JAMANI WAMEMWAGIKA.KEYS HOTEL LOH TUNAKAZI MWAKAHUU
 
Back
Top Bottom