Hawa CHASO wana matatizo
Kufanya mahafali ni matatizo?
Hawa CHASO wana matatizo
Kwani lazima iwe tarehe 23 !Kufanya mahafali ni matatizo?
Sasa hivi baada ya BAVICHA kudhibitiwa wasizuie mkutano Wa CCM dodoma ku-STEAM out frustration wanakuja humu Jamiiforums na taarifa nyingi za kuzua na kutunga zisizotoka official source.Nimethibitisha kuwa hii taarifa ya mleta maada ni ya uongo ikiwa na ile ingine ya kusema BAVICHA watazunguka nchi nzima kufanya mkutano na ile ya kusema wanafanya mkutano wa dharura Dodoma.
Taarifa za uongo kama hizi zinashusha hadhi ya Jamiiforums.Ndio maana nasema vizuri source za taarifa zote za Chama ZIWE official sio mtu tu aliyekuwa frustrated anajipostia tu humu taarifa ya kichama wakati ni frustration zake tu zimemjaa zinamsumbua akidhani akiziandika labda zitaleta kitu fulani hewa alichokitarajia.
Niwaombe BAVICHA ambao mkofrustrated kwa mikakati yenu koko kutotimia msilitumie jukwaa la Jamii forums kuendeshea uzushi unaohusu CHADEMA si vizuri.Mnachafua CHADEMA na mnaharibu mfumo wa chama wa utoaji habari muhimu za kiofisi
Jana umeona RPC Dodoma katoa magari yote, Polisi wote, pikipiki zote mpaka mbwa wao na kuwazungusha mchana kutwa mitaani eti tuko tayari kwa lolote. Huko ndio kuchanganyikiwa kutokana na kauli ya vijana wa Bavicha. Utadhani wameambiwa majeshi ya Kenya yanakuja kuvmia Dodoma kumbe ni kauli ya kuja kusaidiwa kazi yao ya kuzuia mikutano?
Baada ya tarehe 23/7 ukipiga simu Polisi kuwa kuna majambazi wanarusha risasi majibu ni " hatuna gari kwa sasa na lililopo halina mafuta subirini mtapata msaada asubuhi"Ha ha ha Polisi wapanic????? Huko kuzunguka ni zoezi la kawaida.Walikuwa wanazunguka kuonyeshana mitaa na barabara mbali mbali ambazo wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM watazitumia.Si unajua magari ya polisi wa ESCORT hutangulia mbele lazima wazijue njia zote na maeneo ya malindo watakayopangiana .Yaani wako wanaonyeshana njia tu na maeneo watakayokaa kiulinzi unasema walikuwa wanawatisha!!!
Si uliona hata mwendo wa magari ulikuwa wa taratibu sana sio ule mbio wa vurugu mwendo unaojulikana kijeshi kama mwendo wa faru kajeruhiwa.Pale walikuwa wakionyeshana njia tu kazi yenyewe bado.
Wewe utakuwà ni poliseccm sasa mnaangaika tu antenna zenu zinanasa zikifika zinakuta hewa sasa aikili zimechemka na kuchanganyikiwa . msicheze na akili kubwq aisee mtachemkaa.Sasa hivi baada ya BAVICHA kudhibitiwa wasizuie mkutano Wa CCM dodoma ku-STEAM out frustration wanakuja humu Jamiiforums na taarifa nyingi za kuzua na kutunga zisizotoka official source.Nimethibitisha kuwa hii taarifa ya mleta maada ni ya uongo ikiwa na ile ingine ya kusema BAVICHA watazunguka nchi nzima kufanya mkutano na ile ya kusema wanafanya mkutano wa dharura Dodoma.
Taarifa za uongo kama hizi zinashusha hadhi ya Jamiiforums.Ndio maana nasema vizuri source za taarifa zote za Chama ZIWE official sio mtu tu aliyekuwa frustrated anajipostia tu humu taarifa ya kichama wakati ni frustration zake tu zimemjaa zinamsumbua akidhani akiziandika labda zitaleta kitu fulani hewa alichokitarajia.
Niwaombe BAVICHA ambao mkofrustrated kwa mikakati yenu koko kutotimia msilitumie jukwaa la Jamii forums kuendeshea uzushi unaohusu CHADEMA si vizuri.Mnachafua CHADEMA na mnaharibu mfumo wa chama wa utoaji habari muhimu za kiofisi
Hivi ubafananisha bavicha na ccm wewe ubaakili kweli nadhani wafananishe na taasisi nyingine ya wanafunzi wa ccm ninavyoona graduation hiyo iahirishea mpaka baada ya mkutano mkuuHahaaa UKAWA wana akili sana..Polisi wameingia kingi,kama watawazuia basi wazuie na nkutano wa CCM. Big up UKAWA
Vipi, ule ugonjwa wa ajabu ushakwisha?Kwa taarifa nilizopata kutoka kwa viongozi wa CHASO na BAVICHA Dodoma ni kwamba yale mahafali ya wahitimu wa vyuo vikuu vya Dodoma ambayo yalishindwa kufanyika baada ya kuzuiliwa na polisi, sasa yatafanyika tarehe 23 july.
Mahafali hayo yanafanyika baada ya Polisi kutoa ufafanuzi ya kwamba hawajazuia matukio ya ndani ya kisiasa.
Tulipotaka ufafanuzi juu ya kwanini waliamua kufanya mahafali hayo siku ambayo CCM watakuwa wanafanya mkutano mkuu wao, walidai ya kwamba ni siku ambayo wanachuo wote watakuwa huru baada ya mitihani yao, pia hawaoni tatizo sababu mahafali yao yanafanyika katika ukumbi tofauti na ule wa CCM. Pia walidai ya kwamba tayari wameshapata kibali cha kufanya tukio hilo na wamehakikishiwa ulinzi wa kutosha, hivyo wanawaomba watu wanaopenda kuhudhuria tukio hilo kuwa na amani.
Mgeni rasmi siku hiyo anatarajiwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa.
Yetu nimacho na masikio...
Kabisa macho na masikio ni vya kwako mkuu hachukui wa kuazima mtu.
Kwani wakifanya tarehe hiyo kuna shida gani??Akili au utoto! Kwani lazima wafanye tarehe 23 ! Mambo ya kitoto kugombania makopo ya kuchezea.
Kwani kuna shida gani hapo?? Acheni kutokwa mapovu. Chaso watakua na mkutano wao na nyie mtakua na mkutano wenu. Au siku mnayofanya mkutano hamtaki wengine wafanye mikutano yao??Hivi ubafananisha bavicha na ccm wewe ubaakili kweli nadhani wafananishe na taasisi nyingine ya wanafunzi wa ccm ninavyoona graduation hiyo iahirishea mpaka baada ya mkutano mkuu