mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
twende na Lowasa kuijenga chadema yenye nuru.
Hayataruhusiwa...! Hivi wana graduate nini? Uana harakati kama alivyo sema mwana hisa mkuu Lowasa?Kwa taarifa nilizopata kutoka kwa viongozi wa CHASO na BAVICHA Dodoma ni kwamba yale mahafali ya wahitimu wa vyuo vikuu vya Dodoma ambayo yalishindwa kufanyika baada ya kuzuiliwa na polisi, sasa yatafanyika tarehe 23 july.
Mahafali hayo yanafanyika baada ya Polisi kutoa ufafanuzi ya kwamba hawajazuia matukio ya ndani ya kisiasa.
Tulipotaka ufafanuzi juu ya kwanini waliamua kufanya mahafali hayo siku ambayo CCM watakuwa wanafanya mkutano mkuu wao, walidai ya kwamba ni siku ambayo wanachuo wote watakuwa huru baada ya mitihani yao, pia hawaoni tatizo sababu mahafali yao yanafanyika katika ukumbi tofauti na ule wa CCM. Pia walidai ya kwamba tayari wameshapata kibali cha kufanya tukio hilo na wamehakikishiwa ulinzi wa kutosha, hivyo wanawaomba watu wanaopenda kuhudhuria tukio hilo kuwa na amani.
Mgeni rasmi siku hiyo anatarajiwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa.
Kwani wakifanya tr 24 kuna shida gani?Kwani wakifanya tarehe hiyo kuna shida gani??
atakayeyavuta masikio yazid kichwa atakuwa nsyuka au jini binadamu wa kawaida hawez masikio yako yatabak kuwa ya kwako huwez kupata maumivu wewe kwa kuvutwa masikio mwingine.Ni kweli sisi wengine tutahakikisha masikio yetu hayazidi kichwa, ila kama baadhi yenu mtakakuwa mnayavuta masikio yenu ili yazidi kichwa hapo ndipo itakuwa shughuli pevu....
Nyie machadema acheni kujilinganisha na chama chenye dola, ndio maana mnaishia kuwa wanaharakati tu. Ovyo kabisa, kwani wakifanya tarehe 24 kuna tatizo gani?Kwani kuna shida gani hapo?? Acheni kutokwa mapovu. Chaso watakua na mkutano wao na nyie mtakua na mkutano wenu. Au siku mnayofanya mkutano hamtaki wengine wafanye mikutano yao??
Jana umeona RPC Dodoma katoa magari yote, Polisi wote, pikipiki zote mpaka mbwa wao na kuwazungusha mchana kutwa mitaani eti tuko tayari kwa lolote. Huko ndio kuchanganyikiwa kutokana na kauli ya vijana wa Bavicha. Utadhani wameambiwa majeshi ya Kenya yanakuja kuvmia Dodoma kumbe ni kauli ya kuja kusaidiwa kazi yao ya kuzuia mikutano?
mbona 23 july tu?
Ni yapi hayo?Hawa CHASO wana matatizo
Kama hukuweza kugombania kopo ukiwa mtoto, maishani hutagombania chochote.Akili au utoto! Kwani lazima wafanye tarehe 23 ! Mambo ya kitoto kugombania makopo ya kuchezea.
Kichaa haponiKama hukuweza kugombania kopo ukiwa mtoto, maishani hutagombania chochote.
Hawa chaso wanaakili sanaHawa CHASO wana matatizo
Siyo nchi yako ndo ina matatizo!!!Hawa CHASO wana matatizo
Ukimfollow tu makonda ana wew