mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
- Thread starter
- #81
Dah, umemaliza kila kitu.Hilo nimelikumbuka.Kabla ya ku-join JF (nikiwa guest) na baada ya kuingia nikahisi kuna kitu kama hicho..by the way "nina uelwa kiasi wa kusoma katikati ya mistari"(namshukuru trainer wangu).Nilimuuliza mmoja wa member wa zamani ambaye amestaafu ku-post akaniambia ni kweli wapo wengi wenye mult IDS namalengo yanatofautiana: kuna ya kimkakati na ya kijinga..nitaeleza ya kijinga;
a/ili uonekane unapata wachangiaji wengi wa thread zako (kutafuta umaarufu wa kijinga).
b/ID moja kwa ajiili ya mambo ya msingi au yenye story zinazoeleweka na nyingine kwa ajili ya ku-comment kwa matusi thread za
mtu mwingine,kumchokoza mtu ambaye pengine unamfahamu na ku-post jambo la kijinga.
c/Ili uonekane umetoa mawazo yenye maana kwa sababu una wachangiaji wengi (kwa mtazamo wa mwenye mult IDS).
d/uoga wa kutoa mawazo yako kwa ID inayojulikana kwa sababu unahisi utakejeliwa au kutukanwa au kuonekana mjinga (kwa mtu mwoga/asiejiamini).
c/Kuona wenzako kama threat kwako unatumia IDS nyingine kuonyesha kwamba aliendika hajui lolote.
d/Kwa wanawake Hofu ya kuibiana mabwana hasa kama couple wako wote JF (anahisi awe na ID nyingi ili kumtisha kwa njia yeyote ile anayehisi ni threat kwa mahusiano yake -hatuwezi kudharau hili, wanawake wa nchi hii baadhi wanasifika hata nchi jirani kwa wizi wa waume/wapenzi za watu) ni hofu ya kijinga lakini ina logic kidogo.
Kwa la kuwa na ID nyingi kwa malengo ya kimkakati linatumiwa zaidi na wanasiasa na wapambe wao na maafisa wa usalama..naweza kuelezea siku nyingine.
Hii watakuwa wanajifanya kama hawaioni, mana umetandika.
ID yako nyingine ni ipi?