Magufuli’s post presidency...

Ni nchi ipi hiyo ambayo watu weupe wana msimamo wa kunyonya watu(kama mnavyowaita ni mabeberu) lakini nchi kama nchi haina shida kabisa na wala haina msimamo huo wa kunyonya watu na Magufuli anashirikiana na nchi hiyo vizuri kabisa lakini hao watu weupe katika nchi hiyo(mabeberu) hataki kushirikiana nao kwa sababu ni mabeberu na wanyonyaji?

nchi zote,kwani unieleze wewe ni nchi gani ya wazungu ina msuguano na tz kiasi cha kuiwekea tz kikwazo cha aina yoyote???

lakini nchi hizo,mtu mmoja mmoja anakuwa na mtizamo wake binafsi na tz ndio maana hata hiyo migogoro huwa haina mwisho mzuri kwa mhusika sio tz,angalia ya mkulima na nchi yake thidi ya tanzania,amsterdam na belgium nk.

mambo ya kidipromasia ni magumu sana ndugu zangu,ndio maana barozi wa UK aliondolewa kisa kutolea tamko aliyohisi yeye ni haki.
 
Mkuu we fala kabisa yaan mwanaume unawaza kusaidiwa saidiwa tu una tofauti gani na mwanamke sasa. Kuku weee

hao ndio wanaume waliowaachia kazi ya kuandamana akina mbowe na mdee.

kazi kurusha ngumi nyuma ya keyboard.
 
nchi zote,kwani unieleze wewe ni nchi gani ya wazungu ina msuguano na tz kiasi cha kuiwekea tz kikwazo cha aina yoyote???

lakini nchi hizo,mtu mmoja mmoja anakuwa na mtizamo wake binafsi na tz ndio maana hata hiyo migogoro huwa haina mwisho mzuri kwa mhusika sio tz,angalia ya mkulima na nchi yake thidi ya tanzania,amsterdam na belgium nk.
Unaelewa kuwa huwezi ukawa huna shida na nchi fulani lakini wakati huohuo ukawa una shida na raia wa nchi hiyo?Huwezi kusema eti nchi fulani mfano Norway huna shida nayo na upo tayari kushirikiano nayo halafu wakati huohuo ukakataa raia wake wasije nchini kwako kuwekeza kwa kigezo kuwa ni weupe na ni mabeberu!Unaelewa unavyojicontradict hapa?
 
Unaelewa kuwa huwezi ukawa huna shida na nchi fulani lakini wakati huohuo ukawa una shida na raia wa nchi hiyo?Huwezi kusema eti nchi fulani mfano Norway huna shida nayo na upo tayari kushirikiano nayo halafu wakati huohuo ukakataa raia wake wasije nchini kwako kuwekeza kwa kigezo kuwa ni weupe na ni mabeberu!Unaelewa unavyojicontradict hapa?

wewe ndio unajicontadict.

hakuna raia yeyote wa nchi yeyote haruhusiwi kuja kuwekeza nchini,sijui umeitoa wapi hii hoja yako!!!!
ila tu anatakiwa afuate mashart ya nchi husika,hata nchi aliyotoka wanajua hilo.

labda nikwambie ndugu yangu,ushirikiano unaouona kati yetu sisi na watu weupe,uko kwenye biashara tu.nje ya hapo haupo.
ndio maana mambo yanaharibika sana biashara zinapotikiswa.sasa nyinyi mnaodhani ushirikiano wetu umewekwa kwenye haki za raia sijui chadema,niwape pole.
 
I strongly believe that Magufuli will stay beyond the 10 year period prescribed in the constitution. Definitely, the current constitution will be amended to accommodate his prolonged ambitions. He has consolidated his powers and treated "God like" by CCM members. The elections of 2020 did not send a strong message to the opposition but to the ruling party members that if you don't align yourself with JPM then you will have no future. He has completely weakened the parliament, judiciary etc.

Going forward, my prediction is that members of CCM will bring this proposal to the parliament, and in addition several news outlets will start airing opinions about the extension of tenor. The public sentiment will indicate overwhelming support and also all senior members of CCM, and the same will be ratified

If Xi Jinping did this in China and also Paul Kagame did this in Rwanda then why not JPM. Remember when he said if I dont complete all these projects then who will finish them? Whether this is Good or Bad will depend on the will of the people. Mark this post when it happens!!!!!.
 
wewe ndio unajicontadict.

hakuna raia yeyote wa nchi yeyote haruhusiwi kuja kuwekeza nchini,sijui umeitoa wapi hii hoja yako!!!!
ila tu anatakiwa afuate mashart ya nchi husika,hata nchi aliyotoka wanajua hilo.

labda nikwambie ndugu yangu,ushirikiano unaouona kati yetu sisi na watu weupe,uko kwenye biashara tu.nje ya hapo haupo.
ndio maana mambo yanaharibika sana biashara zinapotikiswa.sasa nyinyi mnaodhani ushirikiano wetu umewekwa kwenye haki za raia sijui chadema,niwape pole.
Mimi hoja yangu ni moja tu,ni nchi gani ambayo tunashirikiana nayo lakini raia wake ni mabeberu na hawatakiwi katika nchi yetu?Kwa nini unakwepa hili swali?Taja nchi moja tuichambue kwa sababu awali umesema mabeberu siyo nchi bali ni watu katika nchi fulani,sasa nataka specifically nijue nchi ya namna hiyo.
 
Mimi hoja yangu ni moja tu,ni nchi gani ambayo tunashirikiana nayo lakini raia wake ni mabeberu na hawatakiwi katika nchi yetu?Kwa nini unakwepa hili swali?Taja nchi moja tuichambue kwa sababu awali umesema mabeberu siyo nchi bali ni watu katika nchi fulani,sasa nataka specifically nijue nchi ya namna hiyo.

Sijui kama unanielewa.mimi hoja yangu ni nyepesi tu kama ulivyokwisha isema hapo.

tuna ugomvi na mkulima wa SA vipi south africa tuna shida nao yoyote???

tumetifuana na Barick kipindi kirefu sana,kaulize kama tuna shida na nchi wanakotoka.

amsterdam na nchi yake vipi nao??
sawa hawa madalali wote wakienda kwao wanapiga kelele sana,lakini hazizai matunda yoyote.
nimekwambia tokea mwanzo bond yetu na hao wawekezaji iko kibiashara zaidi,akifata biashara hawezi katazwa kuingia.
 
shida ni pale unapoona ni poa tu.
Kwani mtoto mchanga anapotegemea mtu mzima amlishe ni kwa sababu anaona ni poa tu au ni kwa sababu ni lazima alishwe?Unaelewa kila kitu kuanzia madawa hospitalini,technolojia,nguo,magari,computer,ujuzi mbalimbali,etc tunategemea wazungu?Hii ni kuchukulia poa?Kama ni kuchukulia poa assume wazungu wamejitoa leo,utapata wapi madawa yote yanayotumika mahospitalini kama vile ARV kwa mfano?
 
Ni nchi ipi hiyo ambayo watu weupe wana msimamo wa kunyonya watu(kama mnavyowaita ni mabeberu) lakini nchi kama nchi haina shida kabisa na wala haina msimamo huo wa kunyonya watu na Magufuli anashirikiana na nchi hiyo vizuri kabisa lakini hao watu weupe katika nchi hiyo(mabeberu) hataki kushirikiana nao kwa sababu ni mabeberu na wanyonyaji?
Kwani unaumia sana mabeberu wako kusimangwa.?
 
sijui kama unanielewa.mimi hoja yangu ni nyepesi tu kama ulivyokwisha isema hapo.

tuna ugomvi na mkulima wa SA vipi south africa tuna shida nao yoyote???

tumetifuana na Barick kipindi kirefu sana,kaulize kama tuna shida na nchi wanakotoka.

amsterdam na nchi yake vipi nao??
sawa hawa madalali wote wakienda kwao wanapiga kelele sana,lakini hazizai matunda yoyote.
nimekwambia tokea mwanzo bond yetu na hao wawekezaji iko kibiashara zaidi,akifata biashara hawezi katazwa kuingia.
Kwa nini kuwe na ugomvi na mkulima wa south Afrika kwa mfano?Mtu kudai haki yake ni dhambi au ni maajabu?Kwa hiyo angekuwa ni mtu mweusi ndiyo yule mkulima wa south Afrika anakomaa kudai haki zake kama huyo mzungu anavyokomaa kudai haki zake kungekuwa na tatizo pia?
 
Unaelewa unachoandika lakini?Kama kusaidiwa ni ufala kwa nini budget ya Tanzania zaidi ya asilimia 50 hutegemea misaada ya mabeberu?
Sasa kwanini Rais anapambana tutoke huko wewe unakuja unalalamika?
Hizi tabia za kike za kupenda kusaidiwa mtaacha lini?
 
wewe uliishawahi kukuta wapi urafiki wa tajiri na masikini.

mbona mnapenda sana kujidanganya!!!
Sasa misaada aliyokuwa anapokea na hela za covid alizobugia zilitoka kwa kufanya urafiki na maskini ?aisee CCM wote mbona vilaza hivi
 
Hela ya covid alizobugia siyo ufisadi ?
Ngumbaru kama huyo akiquote comment yangu wala huwa sina muda wa kumjibu.Jamii forum hawafanyi fair,kuna ngumbaru nimewablock lakini bado wanaziona comment zangu na kuendelea kuziquote!
 
Sasa misaada aliyokuwa anapokea na hela za covid alizobugia zilitoka kwa kufanya urafiki na maskini ?aisee CCM wote mbona vilaza hivi

ilitakiwa ujiulize kama hao unaowaita matajiri hizo pesa ziliwasaidia kwenye janga au vipi??maana wao na utajiri wao bado walifirigiswa vibaya sana.

halafu bado hujathibitisha kama hao matajiri walikuwa rafiki zetu,ndipo wakatupa hizo pesa.
 
Back
Top Bottom