Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,900
- 95,400
Kwa hiyo wanachofanya serekali hakina uwezo wa kuathiri future yangu kiasi kwamba sina haja ya kuwafuatilia na kuwalaumu wakifanya ujinga?Kijana, tengeneza future yako!!
Kwa hiyo wanachofanya serekali hakina uwezo wa kuathiri future yangu kiasi kwamba sina haja ya kuwafuatilia na kuwalaumu wakifanya ujinga?Kijana, tengeneza future yako!!
Ngumbaru kama huyo akiquote comment yangu wala huwa sina muda wa kumjibu.Jamii forum hawafanyi fair,kuna ngumbaru nimewablock lakini bado wanaziona comment zangu na kuendelea kuziquote!
Sasa mimi niko hapa kubishana kwa hoja,kwa logic na kwa mantic halafu mtu anakomaa kutukana;kuna jambo gani jema na la kistaarabu zaidi la kufanya zaidi ya kumblock?unablock watu kwa uoga na kukosa capacity halafu unataka kuishi jamiiforums!!!!
mkuu huo ni udhaifu,ni afadhali usimjibu mtu kuliko kumblock.
Halafu sijamalizana na wewe bado,yule mkulima wa south Afrika mnamchukia kwa sababu ya rangi yake au mnamchukia kwa sababu anakomaa kudai haki zake?unablock watu kwa uoga na kukosa capacity halafu unataka kuishi jamiiforums!!!!
mkuu huo ni udhaifu,ni afadhali usimjibu mtu kuliko kumblock.
Halafu sijamalizana na wewe bado,yule mkulima wa south Afrika mnamchukia kwa sababu ya rangi yake au mnamchukia kwa sababu anakomaa kudai haki zake?
Awe mshauri wa kuteka na kuingiza kura fake kwenye vituo vya uchaguzi ?Akishamaliza muda wake ni anatakiwa apumzike awe mshauri tu kwa atakayemuachia, kama atakayemuachia ataona kupata ushauri kwake!!
ArmterdamMimi hoja yangu ni moja tu,ni nchi gani ambayo tunashirikiana nayo lakini raia wake ni mabeberu na hawatakiwi katika nchi yetu?Kwa nini unakwepa hili swali?Taja nchi moja tuichambue kwa sababu awali umesema mabeberu siyo nchi bali ni watu katika nchi fulani,sasa nataka specifically nijue nchi ya namna hiyo.
Kama mabeberu ni mtu mmoja mmoja ndani ya nchi fulani na wala siyo nchi,mnaposemaga kuwa hamtaki misaada ya mabeberu kwani misaada huwa inatolewa na individuals au na nchi?sijui kama unanielewa.mimi hoja yangu ni nyepesi tu kama ulivyokwisha isema hapo.
tuna ugomvi na mkulima wa SA vipi south africa tuna shida nao yoyote???
tumetifuana na Barick kipindi kirefu sana,kaulize kama tuna shida na nchi wanakotoka.
amsterdam na nchi yake vipi nao??
sawa hawa madalali wote wakienda kwao wanapiga kelele sana,lakini hazizai matunda yoyote.
nimekwambia tokea mwanzo bond yetu na hao wawekezaji iko kibiashara zaidi,akifata biashara hawezi katazwa kuingia.
Kama mabeberu ni mtu mmoja mmoja ndani ya nchi fulani kama alivyo Armsterdam na wala siyo nchi,mnaposemaga kuwa hamtaki misaada ya mabeberu kwani misaada huwa inatolewa na individuals au na nchi?Armterdam
What monarchy?Monarchy???
I’m not getting you!I
Infrastuctural Czar? Monarchy state?
What do you know czar to mean?So what do you mean Tanzanians to have a leader who is an infrastuctural Czar?
Na pengine anaweza kuwa kashapumzika milele...who knows miaka mitano ni mingi sana kwenye maisha ya binadamu!Akishamaliza muda wake ni anatakiwa apumzike awe mshauri tu kwa atakayemuachia, kama atakayemuachia ataona kupata ushauri kwake!!
Alibugia lini na wap? Hebu fafanua mkuuHela ya covid alizobugia siyo ufisadi ?
Hahaha yani Magufuli awe mshauri wa mtu are you kidding me?!Akishamaliza muda wake ni anatakiwa apumzike awe mshauri tu kwa atakayemuachia, kama atakayemuachia ataona kupata ushauri kwake!!
These are strong President Magufuli personality traits
- A strong vision for the country's future.
- President Magufuli encouraged good character to his juniors.
- Crisis management skills.
- Character and integrity.
- Wise appointments.
- An ability to work with Parliament.
Meko mwezi Mei 2020: "Mungu ametuponya na Corona, Tanzania hakuna Corona angalia mataifa mengine yanavyohangaika, Lakini leo hii sisi HAKUNA mtu anavaa Mask hapa".These are strong President Magufuli personality traits
- A strong vision for the country's future.
- President Magufuli encouraged good character to his juniors.
- Crisis management skills.
- Character and integrity.
- Wise appointments.
- An ability to work with Parliament.