Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,198
- 99,925
Waulize CCM ni wapi alipo Lowasa hahaahaa watakueleza kila kitu hadi nguo alizovaaa! Na idadi ya watu waliohudhuria ila sasa waulize yuko wapi mgombea wao! Zzzzzzzzzz
Wakawa. Wanahangaika. Mnafikiri ile pete ya uchawi ya mgombea wenu wa urais inaweza kumdhuru Rais wa Tanzania Magufuli? Nguvu ya hiyo pete ni kujaza wahuni kwenye mikutano tu
Ngangari ndio wapi mkuu kma Mbona mnaficha?Magufuli yupo ngangari
Inaonekana mtoa mada hafuatilii matangazo ya biashara, sasa hivi Magufuri anawazidi hata cocacola, tigo na voda kwa matangazo ya biashara yake na kwenye mabango ndio usiseme mpaka kinyaa.
Amepumzika,kwani kampeni lazima awepo yeye kila siku? Hapa ni kujipanga na kuchukua pumzi ya kumalizia wiki ya mwisho.....
Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Jamani popote pale makada wa CCM mlipo, tunaomba mtuambie, mgombea wetu Magufuli yupo wapi?
Mkiendelea kukaa kimya tunakwenda kupachimbisha pale Lumumba.