MREMA ATARUDI NA MAGUFULI ATAMWAGIA SIFA KUWA NI MCHAPAKAZI nasi kwa kuwa magufuli atakuwa amesema kuwa mrema ni mchapakazi tutakubali hadithi itakuwa ieishia hapo.
NIMESOMA COMMENTS ZENU ZOTE MIE SIWEZI KUZIKATAA AU KUZIKUBALI ILA NINACHO WAOMBA MTAFUTE UKWELI HALISI WA MREMA,JIULIZENI NANI ANATAKA KUMTOA PALE NA KWASABABU GANI,PILI NANI ANAEMLINDA NA KWAMASLAHI YA NANI,MWISHO TAFUTA UHALISI WA UTENDAJI KAZI WAKE.
NAOMBA KUWASILISHA!!
MREMA ATARUDI NA MAGUFULI ATAMWAGIA SIFA KUWA NI MCHAPAKAZI nasi kwa kuwa magufuli atakuwa amesema kuwa mrema ni mchapakazi tutakubali hadithi itakuwa ieishia hapo.
NIMESOMA COMMENTS ZENU ZOTE MIE SIWEZI KUZIKATAA AU KUZIKUBALI ILA NINACHO WAOMBA MTAFUTE UKWELI HALISI WA MREMA,JIULIZENI NANI ANATAKA KUMTOA PALE NA KWASABABU GANI,PILI NANI ANAEMLINDA NA KWAMASLAHI YA NANI,MWISHO TAFUTA UHALISI WA UTENDAJI KAZI WAKE.
NAOMBA KUWASILISHA!!
I totally agree!Nadhani watu wanaongea sana bila ya kuwa na concrete evidences!
MREMA ATARUDI NA MAGUFULI ATAMWAGIA SIFA KUWA NI MCHAPAKAZI nasi kwa kuwa magufuli atakuwa amesema kuwa mrema ni mchapakazi tutakubali hadithi itakuwa ieishia hapo.
NIMESOMA COMMENTS ZENU ZOTE MIE SIWEZI KUZIKATAA AU KUZIKUBALI ILA NINACHO WAOMBA MTAFUTE UKWELI HALISI WA MREMA,JIULIZENI NANI ANATAKA KUMTOA PALE NA KWASABABU GANI,PILI NANI ANAEMLINDA NA KWAMASLAHI YA NANI,MWISHO TAFUTA UHALISI WA UTENDAJI KAZI WAKE.
NAOMBA KUWASILISHA!!
Wazungu hawajengi mtaro bali wanaziba maji pale yanapotoka...
Sasa kama wewe unajuwa hayo si utuambie?
Kutuagiza kutafuta hayo maswala ya Mrema ni sawa na kuchimba mtaro
Ndugu Mahesabu,BELIEVE ME........hataweza kumtoa.....! atawatoa wale wasiopendwa na MREMA...I MEAN ATAKUWA MREMAS SIDE
...anayekaimu nafasi ya E. Mrema anaitwa Mfugale. Alikuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya barabara za vijijini pale wizara ya miundombinu HQ. So E . Mrema ameng'oka bana.
...anayekaimu nafasi ya E. Mrema anaitwa Mfugale. Alikuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya barabara za vijijini pale wizara ya miundombinu HQ. So E . Mrema ameng'oka bana.
umetoka wapi wewe!!!! humu ni wachache wenye ywezo wa kufikiri kwa mapana kiasi kama chako....MREMA ATARUDI NA MAGUFULI ATAMWAGIA SIFA KUWA NI MCHAPAKAZI nasi kwa kuwa magufuli atakuwa amesema kuwa mrema ni mchapakazi tutakubali hadithi itakuwa ieishia hapo.
NIMESOMA COMMENTS ZENU ZOTE MIE SIWEZI KUZIKATAA AU KUZIKUBALI ILA NINACHO WAOMBA MTAFUTE UKWELI HALISI WA MREMA,JIULIZENI NANI ANATAKA KUMTOA PALE NA KWASABABU GANI,PILI NANI ANAEMLINDA NA KWAMASLAHI YA NANI,MWISHO TAFUTA UHALISI WA UTENDAJI KAZI WAKE.
NAOMBA KUWASILISHA!!
hongera sana. labda kwa taarifa tu ni kwamba, watanzania hatuna muda wa kufikiria na kazi ya kufikiria tumewaachia WAHARIRI wa magazeti na sisi tunalishwa sumu na kuinywa kama wapumbavu.
watu wanashindwa kujiuliza maswali madogo tu kama
1.kuna visa gani kati ya KUBENEA na ZITO KABWE????
2. nini kinaendelea kati ya wamiliki wa RAIA MWEMA na MREMA wa tanrods pamoja na mengine meeeengi yanayopigiwa chapuo na wana JF.
Ushetani uliokuwa unaendelea TANROADS kabla ya MREMA kupewa ile nafasi ya ukurugenzi, ilikuwa ni aibu na ni MREMA aliyerekebisha mpaka TANROAD ikaanza kuwa na watendaji wanaowajibika. sasa mgongano kati yake na RAIA MWEMA ni siri ambayo hata RAIA mwema wasingependa ijulikane na ndio maana Mrema anapata kiburi cha kuwapuuza akina ulimwengu na wenzake.
wana JF msitumie bongo za wahariri wa magazeti kama CENTRAL PROCESSING UNIT katika vichwa vyenu... tafuteni kwanza ukweli
Aibu....MREMA ATARUDI NA MAGUFULI ATAMWAGIA SIFA KUWA NI MCHAPAKAZI nasi kwa kuwa magufuli atakuwa amesema kuwa mrema ni mchapakazi tutakubali hadithi itakuwa ieishia hapo
...anayekaimu nafasi ya E. Mrema anaitwa Mfugale. Alikuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya barabara za vijijini pale wizara ya miundombinu HQ. So E . Mrema ameng'oka bana.