Magufuli vs Ephraim Mrema

Kinyasi

Member
Nov 22, 2010
72
31
Wandugu,
Kama tujuavyo, Waziri wa ujenzi, Dr. John P. Magufuli, mchapa kazi, mbunifu, mchukia ufisadi, na asiyependa ubabaishaji. Wakati huo huo, mkurugenzi TANROADS, Ephraim Mrema, ni mbabaishaji, mzembe, mkumbatia ufisadi, na inasemekana kawekwa pale kulinda uozo wa wakubwa wa nji hii.
Sipati picha siku ikitokea magufuli akiwa katika harakati za kusaficha uchafu kwenye wizara ya ujenzi kama vile kuwafukuza wakandarasi wababishaji, kama ilivyokuwa enzi zile kwenye awamu ya Ben Mkapa. Kufika TANROADS akakutana na madudu ya Mrema. Je mrema atamtunishia kifua kwa sababu tu ni mteule wa Rais na yuko supported na vigogo wala nchi?
 
BELIEVE ME........hataweza kumtoa.....! atawatoa wale wasiopendwa na MREMA...I MEAN ATAKUWA MREMAS SIDE
 
Nilisoma kwenye magazeti sept kwamba serikali imeamua kusititisha ajira yake nadhani kuanzia November,sijui imeishia wapi.
 
nafasi ya kazi ya Mrema ilitangazwa. Nae alikuwa miongoni mwa watu 80 waliotuma maombi. Sijui mchakato umefika wapi sasa hivi.
 
MREMA ATARUDI NA MAGUFULI ATAMWAGIA SIFA KUWA NI MCHAPAKAZI nasi kwa kuwa magufuli atakuwa amesema kuwa mrema ni mchapakazi tutakubali hadithi itakuwa ieishia hapo
 
 
 
 
unarekebisha mtaro pale penye mtaro,mie hapo siono mtaro zaidi ya mfereji wa maji machafu,hapo uzibi tena unamshauri mwenye mfereji kwenda kutafuta mkandarasi makini wakumjengea mtaro,tafuta a reliable source of ur information ndugu,l'm not the 1 b'se sijui hata kama u can relie on ma information as l dont 2 u,sorry!!
 
BELIEVE ME........hataweza kumtoa.....! atawatoa wale wasiopendwa na MREMA...I MEAN ATAKUWA MREMAS SIDE
Ndugu Mahesabu,
Mrema yuko wapi? mbona simuoni kwenye viunga vya TANROADS na wa le wasiopendwa na MREMA ndo nawaona wana-shine kitaa. Kulikoni ndugu?/
 
...E. Mrema alishafukuzwa kazi na Magufuli. Tena alitakiwa akabidhi funguo za ofisi na funguo za gari ya ofisi on the spot na kumwambia awapigie simu nyumbani kwake wamfuate baada ya hafla. Kuna mtu ameteuliwa kukaimu nafasi yake. Nitakujuza baadae ni nani anakaimu nafasi yake.
 
...anayekaimu nafasi ya E. Mrema anaitwa Mfugale. Alikuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya barabara za vijijini pale wizara ya miundombinu HQ. So E . Mrema ameng'oka bana.
 
...anayekaimu nafasi ya E. Mrema anaitwa Mfugale. Alikuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya barabara za vijijini pale wizara ya miundombinu HQ. So E . Mrema ameng'oka bana.

Ooh, good news! Badra Masoud wa Taa-no-sko lin? maana naye ni mropokaji tu mkataa ukweli-always
 
...anayekaimu nafasi ya E. Mrema anaitwa Mfugale. Alikuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya barabara za vijijini pale wizara ya miundombinu HQ. So E . Mrema ameng'oka bana.

Ooh, good news! Badra Masoud naye wa Taa-no-sko lini atatimuliwa? maana naye ni mropokaji tu mkataa ukweli-always
 
no coment. Ila magufuli ni muoga na hana ujasiri wa kuwa face wakuu wake wa kazi, ingawa anajituma sana,nakumbuka 2005,alikataa katakata kuchukua form ya kugombea u prezidaa" eti kwakua jk anautaka.
 
 
Magufuli itabidi kufanya kazi ya ziadi kuwaridhisha Donors (wao ndiyo wanatoa hela za ujenzi ) na replacement ya Mrema. Mrema alikuwa anakubalika na donors (huyu ni ukweli usiyopingika) na walimwamini na pesa zao. Tuwache siasa na tusubiri meizi tisa ijayo Tanroads itakuwa imefanikisha/timiza nini. Mrema alirekibisha kasoro nyingi zilizofanywa na Mhe Magufuli. My take , Magufuli will implement kazi zote zilivyotayarishwa na Mrema na kuchukua credit (hii ndiyo siasa) na atawatupa wabaya wake Mrema.
 
...anayekaimu nafasi ya E. Mrema anaitwa Mfugale. Alikuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya barabara za vijijini pale wizara ya miundombinu HQ. So E . Mrema ameng'oka bana.

Mkuu Tanga kwetu,

Thanks kwa kutujuza, japo ni kitambo sana since hoja iwepo mezani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…