shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,154
Hizi ni projects ccm kupiga hela na ndio maana hata wabunge wetu wanafichwa kuiona mikataba yake, huwezi kuwa na project kubwa kama hiyo halafu huyo mwanachi ambaye unasema ndio atakuwa mnufaika hajui chochote na hii uthibitisho kuwa ni mradi wa kupiga hela.