Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,437
- 1,875
wachina watatumaliza, bandari na jeshi ni strategic economic and security move in their favour . Sri Lanka wameshapata matatizo hapo
Tukiweka ushabiki pembeni, nchi yetu inahitaji maendeleo, lakin tuchague aina ya njia tunazoona zinafaa kuleta maendeleo,
Hakuna hasiyejua kwamba China ni wajanja mno katika masuala ya kutafta masoko,
Mbali Zaid China hii siyo Ile ya Mao , hii China yenye Tabia zote za Ubepari na Unyonyaji,
Nchi nyingi zimeumia Kwa mpango huu WA kuwapa wachina wajenge bandari tena za Jeshi,
Tumkosea sana,
Angalia Sri Lanka na nchi kama Taiwan yamewakumba haya
Baada ya kuonekana Sri Lanka anashinikizwa kulipa haraka Deni la kujengewa miundombinu, wakakataa wakasema haiwezekani na Kwa Hali mbaya tunayopitia hii kulipa Kwa makubaliano hayo,
China wakatumia fursa hiyo kuwaambia Sri Lanka kwamba mtupatie sehem nyeti za nchi tuziendeshe sisi tujilipe ndo mzozo ukaanza,
Sri Lanka wakasema basi chukua airport mliyotujengea, China wakakataa kwamba hatutaki airport tupu na ndege zenu tunataka,
Sasa Tanzania kuweni makini Sana na wachina
China Tells Sri Lanka: We Want Our Money, Not Your Empty Airport
Nathan
00069 PGH . Sörnäisten rantatie 18 F
+358068670****
Tukiweka ushabiki pembeni, nchi yetu inahitaji maendeleo, lakin tuchague aina ya njia tunazoona zinafaa kuleta maendeleo,
Hakuna hasiyejua kwamba China ni wajanja mno katika masuala ya kutafta masoko,
Mbali Zaid China hii siyo Ile ya Mao , hii China yenye Tabia zote za Ubepari na Unyonyaji,
Nchi nyingi zimeumia Kwa mpango huu WA kuwapa wachina wajenge bandari tena za Jeshi,
Tumkosea sana,
Angalia Sri Lanka na nchi kama Taiwan yamewakumba haya
Baada ya kuonekana Sri Lanka anashinikizwa kulipa haraka Deni la kujengewa miundombinu, wakakataa wakasema haiwezekani na Kwa Hali mbaya tunayopitia hii kulipa Kwa makubaliano hayo,
China wakatumia fursa hiyo kuwaambia Sri Lanka kwamba mtupatie sehem nyeti za nchi tuziendeshe sisi tujilipe ndo mzozo ukaanza,
Sri Lanka wakasema basi chukua airport mliyotujengea, China wakakataa kwamba hatutaki airport tupu na ndege zenu tunataka,
Sasa Tanzania kuweni makini Sana na wachina
China Tells Sri Lanka: We Want Our Money, Not Your Empty Airport
Nathan
00069 PGH . Sörnäisten rantatie 18 F
+358068670****