Ndugu Magufuli, mkoa wa Tanga uliwahi kuwa mkoa tajiri no.1 East Africa kwa sababu ulikuwa ndio sehemu iliyo ongoza ulimwenguni kwa zao la katani, likifuatiwa na yucatan ya Mexico.
Tokea miaka ya 1970, zao la katani limekufa baada ya nylon kugunduliwa na kuweza kutengenezwa kwa bei nafuu zaidi ya katani. Mashamba mengi yamekufa na yaliyobaki wajaja wameyachukua bila ya kuyaendeleza na kuyachukulia madeni.
Iwapo chama changu itakuja na agenda ya kuhakikisha kuwa mashamba haya yaturudishwa serekalini, pamoja na yale ambayo yapo serekalini, yakafanyiwa utafiti mzuri na yale yasiyo na manufaa kwa muendelezo wa zao la katani, wakagaiwa wananchi wanaishi pembeni ya mashamba hayo na sio watu wa kutokea mbali, wananchi wa Tanga watafurahiya sana jambo hilo, na litabadilisha maisha ya wengi.
Tutaweza ongeza ajira kwenye kilimo kwa zaidi ya asilimia 80%, zao la katani linawanufaisha watu wachache sana.
Tafadhali liangalie hili kwa umakini. 98% ya mashamba ya katani hakuna yanayoendelea, hakuna kilimo wala kazi inayofanyika, yamekuwa mapori tu.
Tokea miaka ya 1970, zao la katani limekufa baada ya nylon kugunduliwa na kuweza kutengenezwa kwa bei nafuu zaidi ya katani. Mashamba mengi yamekufa na yaliyobaki wajaja wameyachukua bila ya kuyaendeleza na kuyachukulia madeni.
Iwapo chama changu itakuja na agenda ya kuhakikisha kuwa mashamba haya yaturudishwa serekalini, pamoja na yale ambayo yapo serekalini, yakafanyiwa utafiti mzuri na yale yasiyo na manufaa kwa muendelezo wa zao la katani, wakagaiwa wananchi wanaishi pembeni ya mashamba hayo na sio watu wa kutokea mbali, wananchi wa Tanga watafurahiya sana jambo hilo, na litabadilisha maisha ya wengi.
Tutaweza ongeza ajira kwenye kilimo kwa zaidi ya asilimia 80%, zao la katani linawanufaisha watu wachache sana.
Tafadhali liangalie hili kwa umakini. 98% ya mashamba ya katani hakuna yanayoendelea, hakuna kilimo wala kazi inayofanyika, yamekuwa mapori tu.