MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
![]()
Magufuli amesema Serikali katika kupambana na foleni Jijini dar es Salaam wameamua Kujenga flyover maeneo ya daraja la salenda. Kasema daraja lililopo halitabomolewa bali daraja jipya litajengwa upande wa baharini.
Kasema mkataba wa awali umeshasainiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Korea tayari kwa maandalizi ya Kujenga.
Daraja litakua na urefu wa zaidi ya km7.
Magufuli akiongea na TBC1 alisema;
Mia
HAPA ANAONGEZEA shiidda tu sidhani kama ndio ametatua tatizo. iangalie hiyo picha yake vizuri tu afu piga picha tu hiyo daraja linapoanzia na linapoishia na pia piga picha msururu kutoka ALIHASAN MWINYI RD changanya na msururu unaotokea OCEAN ROAD yote hii ije ikutane ni hilo daraja jipya inamaana ameongezea kipande kingine cha msururu wa foleni ambazo ndio ziatkuja kukutana hapo kwenye makutano na njia ya zamani karibia kwenye mataa ya kuelekea kinondoni. je huoni kuwa hapa kaongeza msongamano mkubwa zaidi??
TUNAPATA HAYA KWA HISANI YA WAHISANI. maumivu yakizidi tutoroke hospitalini