Magufuli: Tutajenga flyover Salender Bridge

Magufuli: Tutajenga flyover Salender Bridge

Magufuli.jpg

Magufuli amesema Serikali katika kupambana na foleni Jijini dar es Salaam wameamua Kujenga flyover maeneo ya daraja la salenda. Kasema daraja lililopo halitabomolewa bali daraja jipya litajengwa upande wa baharini.

Kasema mkataba wa awali umeshasainiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Korea tayari kwa maandalizi ya Kujenga.

Daraja litakua na urefu wa zaidi ya km7.

Magufuli akiongea na TBC1 alisema;
Mia


Iwe ni four lanes toka Kivukoni hadi inakoishia
 
Tilion 1.5 ziko wapi?Utapeli huu hauvumiliki kugeuza hela zetu kama za familia haikubaliki.Naumia sana unalipizwa kodi kubwa alafu hela zinapigwa tu bila aibu alaf wajinga wanakenua meno
 
Back
Top Bottom