Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,436
- 50,163
![]()
Magufuli amesema Serikali katika kupambana na foleni Jijini dar es Salaam wameamua Kujenga flyover maeneo ya daraja la salenda. Kasema daraja lililopo halitabomolewa bali daraja jipya litajengwa upande wa baharini.
Kasema mkataba wa awali umeshasainiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Korea tayari kwa maandalizi ya Kujenga.
Daraja litakua na urefu wa zaidi ya km7.
Magufuli akiongea na TBC1 alisema;
Mia
Iwe ni four lanes toka Kivukoni hadi inakoishia