"UPEO WA FIKRA ZA MAENDELEO"
upeo unapokuwa uwezi panga kitu cha kesho na ndiyo maana unakuta jana/leo wanafikilia kupanua barabara ya Dar to Chalinze but matokeo ni miaka 20 ijayo. That's All Renegade.
mgodi
Jana hujapata skandali ya muheshimiwa aliyesaini mkataba na muwekezaji wa treni ya kisasa kupitia JKNIA pasipo kutumia sheria ya tenda? Haya ndo maajabu ya 9 ya dunia kwa nchi yetu!!.
Nimeshangaa sana.Siamini kama Magufuli amefanya tathmini ya kutosha kujua kama hili daraja litakuwa na tija.kutoka Aghakan hadi Cockcock beach maana yake ni kwa wale wanaoelekea Masaki,Osterbay kidogo na Msasani kidogo. Sasa kwa kiasi cha mabilioni zaidi ya 100 sioni tija yake.
Lakini kwa kutengenezeka wakorea hilo daraja la km 7 kwao ni kazi ndogo mno.Korea kuna hadi daraja la km 20 na hili daraja limeshikiliwa na nguzo ndefu za kimo cha mita 70.hayo ya km 7,2,4,6 ni kitu cha kawaida sana kwa kuwa kule ni nchi ya vimilima.
Utafikiri wanakaribia kwenda mwezini. Is that the only problem that cause traffic in this area?
Mpaka Prof.JK anaondoka Magufuri atakuwa ameongeza ahadi 40 zote hazitekelezeki, labda warudishe za ESCROW
yaani tangu ameanza kuzitaja hizo flyover sijaona hata moja ambayo imeshaanza kujengwa walau kuchimba msingi tu. au jamani mtuambie, ile ya ubungo aliyosema je, ile ya TAZARA je, ile ya fire je?, ya magomeni je? sasa anasema ya salanda....wanatudanganya au nini, tell us mr magufuli why should we believe what you are telling us?....
![]()
Magufuli amesema Serikali katika kupambana na foleni Jijini dar es Salaam wameamua Kujenga flyover maeneo ya daraja la salenda. Kasema daraja lililopo halitabomolewa bali daraja jipya litajengwa upande wa baharini.
Kasema mkataba wa awali umeshasainiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Korea tayari kwa maandalizi ya Kujenga.
Daraja litakua na urefu wa zaidi ya km7.
Magufuli akiongea na TBC1 alisema;
Mia
Mkuu, sijapata hiyo scandal.
Kyumia
Sehemu za ulaji wakirekebisha tazara traffic Yale madaftari watapeleka mawe nyumbani. na sikuhizi zilebank qualityzinasaidia wakipatqkidogo unakutananao wametoka kudeposit hope kwenye account Zhao na so waliowapa vitabu
yaani tangu ameanza kuzitaja hizo flyover sijaona hata moja ambayo imeshaanza kujengwa walau kuchimba msingi tu. au jamani mtuambie, ile ya ubungo aliyosema je, ile ya TAZARA je, ile ya fire je?, ya magomeni je? sasa anasema ya salanda....wanatudanganya au nini, tell us mr magufuli why should we believe what you are telling us?....
Siyo kwamba bado kidogo watutangaziye kuwa tunaanza safari za kwenda mwezini!!
Ni sawa, ila naona hata barabara juanzia moroko waongeze upana hadi hapo salenda, ila la muhimu ni fly over ya tazara na ubungo, wajenge hizo kwanza, sio salenda, mbona tunaishia kuonyeshwa mapicha tu, tuone na kazi.
Kweli kabisa, ila nilipita maeneo ya tazara nikaona mchakato imeanza hasa kwa kuondoa miuondombinu iliyokuwepo ambayo inaweza kuathirika kama mabomba ya maji, nyaya za stima nk.