Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Uchaguzi wa mwaka huu unaonesha kuwa CCM itashinda kwa kishindo. Hii ni kutokana na uadilifu wa mgombea wao John Pombe Magufuli na kukubalika kwa 100% nje na ndani ya Nchi.
Ushindi huu wa Kishindo utapelekea Chadema kudhani kuwa CCM imeiba kura ambako kutaweza kuleta vurugu Nchini.
Hivyo Naomba kwa vyama vyote kuwa wapole na kupokea Matokeo kwa hali yoyote ile.
Kwani dalili zinaonyesha Baada ya mgombea wa Chadema (UKAWA) kusema siku ya Uchaguzi wanaume woote walinde kura zao katika vituo vya kupigia kura na wanawake warudi Nyumbani. Hii inadhihirisha kuwa wafuasi wa Chadema watajikusanya kwa Makundi kwenye vituo vya kupiga Kura ili walinde kura zao. Hii inawezekana ikaatarisha maisha yao.
Mimi nawaomba watanzania msidanganywe na Wanasiasa kwani unaweza ukapoteza maisha kwa kudanganyana. Wao watakuwa wametulia kimya Nje ya Nchi/hapahapa Tz wanasikilizia kwenye vyombo vya Habari jinsi mauwaji ya vijana wanaodanganywa kuna Madiliko wakat yanatokea.
Ndugu zangu Boda boda nawaomba kwa upendo wangu woote kwenu, mara baada ya kupiga kura yako Ondoka uende Nyumbani maana wanaoweza kuleta vurugu hasa ni Nyie vijana wa Mtaani (bodaboda)

Tusidanganyane kwa kigezo cha Siasa, na tukapoteza maisha yetu... ni hayo tu.
Labda urais Wa CCM...VIVA LOWASSA...
 
Hahahahahahahahahah eti magufuri atashindaa haha wakati kikwete ashajua mwenyew kumbe we ndo jui kwamba mrisho alikua kiongozi wa mwisho kutoka ccm hahahah lowassa oyeeeeeeeee
 
Kutokana na kampeni zilizokwisha fanyika hadi hivi sana ktka mikoa 10 aliyozunguka Dr Magufuli imedhihirika wazi wanainchi wanainchi wanasubili kuapishwa kwake kutokana na uwezo wake binafsi alionao katika utendaji wa majukumu yake. Hata hivo wanainchi wengi wamekuwa wakijitokeza na kila anapopita wamekuwa wakimpapongeza zaidi kwa kuchaguliwa kwake kuwa rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na wengine wakisema wanamfahamu hata asipozunguka uwezo wake kujenga hoja, kusimamia kazi na hata kuwa karibu na jamii hata mtoto mdogo analifahamu hilo.

Hongera sana Dr John Pombe Magufuli kwa KUCHAGULIWA KWAKO NA WANAINCHI KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO.
 
Safi sana Magufuli, sasa wabaya wako wajipange kushitakiwa kwa ufisadi.
 
Tuwaache wanywa viroba waendelee na mbwembwe na kijeba wao ila wasikimbilie kuibiwa kura siku ya matokeo ..Hapa kazi tu
 
Hata bodaboda nao wamesema tayari umeshapita, usisumbuke tena, wewe ndiye mteule.
 
Wenyewivu wajinyonge huyo ndio jembe bwana hakuna kulala hapa kazi tu tunasubiri aapishwe tu muone shughuli yake
 
Back
Top Bottom