Magufuli siyo sawa na Mubarak wala Gadaffi

Magufuli siyo sawa na Mubarak wala Gadaffi

Pamoja na ujinga mwiiingi uliondika,anaweza pinduliwa hata masaa mawili baada ya kuapishwa ,mark my words
 
..hivi Mange ametangaza maandamano ya kumpindua Raisi?

..na watu wenye akili timamu wanajiandaa kukabiliana na Mange Kimambi?!

Hashtag revolution maana yake nini?

Ndo maana nasema mikakati ni mibovu!
 
Tatizo la wapinzani wa bongo bhana wanajua kupoteza muda wacha tu, wanajua kabisa mipango yao ishaafeli badala yakujipanga pale ambapo hawawezi kuzuiliwa ( Namaanisha 2020 kwenye uchaguzi) wapo wanapayuka alaf ikifika huo muda hawana walichojipanga nacho na wanaishia kubwagwa tu
 
Kwani unadhani Mubarak alikuwa hachaguliwi? Alikuwa ana chaguliwa vzuri kabsaaa! Na wanafanana ki utendaji kabsaa na Mubarak.
Ila Magu haezi wekwa class moja na Gaddafi, generali alikuwa ana saidia wananchi wake tofauti na huyu

Magufuli kakaa madarakani miaka 30?
 
Magufuli kakaa madarakani miaka 30?
Hoja sio kwamba amekaa madarakani muda gani ""!!? hoja nikwamba anamahusiano mazuri kiasi gani kiutawala dhidi ya wananchi aliowaongoza ..kwahiyo hata kama ana sababisha amani ya nchi kutoweka baada ya kukaa madarakani muda mfupi basii anapaswa kuachwa tu kwakuwa hajawahi kufikisha miaka 30....


aiseee kweli leo nimeamini kuwa kila mtu anakichaa chake ...kama kusafiri na kutalii sehemu mbali mbali huwa kuna mpatia mtu exposure inakuwaje kwako wewe kukawa nitofauti na hilo ....
baada ya kuona madudu anayo yafanyaga lemutus na hizi thread unazozianzishaga wewe humu kila siku kuhusu hayo maandamano na na chelea kusema kuwa ..
kuishi nje ya mataifa makubwa yaliyopiga hatua kiuchumi kisayansi kisiasa na ushawishi Ni nafasi yakupata exposure kwa watu wenye akili timamu tu pekee yao
 
Wananchi wa Tanzania au Wapinzani kamwe hawawezi kuandamana maandamano makuu yenye Matokeo wayatakayo bila kupata support za kimataifa.
 
unawasha na upupu, ngoja ukiacha kukuwasha akili zitakurejea.....
 
Tarehe 27/4 Dada yetu hide my ID atatangaza kustaafu rasmi siasa kama balozi mteule!
 
Hakuna mmbongo wa kuandamana hapa..

Maandamano yatakuwepo kwenye hizo balozi nje ya nchi labda, sio Tz
 
Mikakati ya hao wanaopanga kuandamana ili hatimaye wamuondoe ikulu rais Magufuli ni mibovu sana.

Huwezi kumlinganisha rais Magufuli na hao akina Mubarak au sijui Gadaffi. Majitu yaliyokaa kwenye madaraka miongo na miongo.

Rais Magufuli kachaguliwa kidemokrasia [hata kama wengine hawakukubaliana na matokeo].

Tena kachaguliwa kihalali.

Rais Magufuli hata miaka mitatu madarakani hajafukisha.

Sasa unapoandaa maandamano yenye lengo la kumpindua, jua hakuna kundi, taasisi, au yeyote yule mwenye akili timamu atakayekuunga mkono.

2020 siyo mbali kivile. Kwa nini usisubiri hadi wakati huo ili umtoe kupitia nguvu ya kura?

Okay, utasema kuwa labda CCM wataiba kura.

Sawa, kama wataiba kura kweli hapo ndipo itakuwa muda muafaka kabisa wa kuitisha maandamano nchi nzima na kupinga yaliyotokea kwenye uchaguzi.

Hapo hata jumuiya ya kimataifa itakuwa na nafasi nzuri ya kukuunga mkono.

Lakini hii ya kupiga makelele mtandaoni na kushindana kumtukana mtu aliyechaguliwa kihalali haitofanikiwa kamwe.

Itaanzania na kuishia mtandaoni tu.

Hivyo shime wote msiompenda Magufuli. Pangeni mikakati mizuri. Acheni kupayuka na kulialia mitandaoni na mjipange ili 2020 ikifika mnamrudisha Chato huyo msiyempenda.
Kutoelewa DHUMUNI YA MAANDAMANO kunafanya hii thread yako yote kutokua na uhalali wa kuwepo hapa fuatilia vizuri kuhusu dhumuni la maandamano then uje u-edit uzi wako!
 
Hashtag revolution maana yake nini?

Ndo maana nasema mikakati ni mibovu!

..siamini kama Mange Kimambi ana uwezo wa kupindua serekali ya Tanzania.

..pia nashangazwa na lugha za VITISHO zinazotolewa as if our beloved country is about to be INVADED or there is an ATTACK that is about to happen from within.

..kuna watu wanazungumzia habari za UHAINI!! WHY?!
 
[emoji53][emoji53][emoji53]
IMG_20180307_17862.jpg
 
Sasa huo uchaguzi 2020 c utakuwa chama kimoja mkuu ww huoni au ndo ushabiki tu
 
Wapinzani Tanzania ni Wa-jinga,Wa-pu-umbavu,WANAFIKI kupita kiwango,haya yote yanayotokea ni shauri ya u-jingawao na unafiki wao,unapolalamika ulichonacho hakikufai means hata utapopewa kitachokufaa hutajua kufaa kwake,napenda mwendo wa magu kwa hali ilivyo,haya mazoea ifike mahali tupate wa kutunyoosha pamoja na mapungufu yaliyopo,mtoto umleavyo! Ashikilie hapo hapo,hakuna the hegue wala wapi,wamekalia kutiana hofu tu kazi haziend shwain.
 
Back
Top Bottom