Magufuli siyo sawa na Mubarak wala Gadaffi

Magufuli siyo sawa na Mubarak wala Gadaffi

Wewe binafsi unaamini maandamano yatakuwepo

Unataka yawepo?

Yakiwepo utashiriki?

..nimesema " mukuru " anaamini au ameanishwa kwamba kutakuwepo na maandamano yatakayovuruga amani.

..na ndiyo maana anatoa VITISHO na kujiapiza.

..binafsi siamini kama kutakuwa na maandamano.

..sidhani kama watu wako coordinated na wana lengo linalowaunganisha ili kuandamana.

..YES, nataka watu waandamane kwasababu ni HAKI yetu tuliyopewa na KATIBA.

..NDIYO, nitashiriki maandamano ambayo nakubaliana na sababu zake, na nimejiridhisha kwamba yatapeleka ujumbe uliokusudiwa.

NB.

..wanaoitisha maandamano wanajua hulka ya " mukuru " ilivyo.

..wanajua wakitishia maandamano atajitokeza na kuahidi to deal with them VIOLENTLY.

..Kwa mtizamo wangu yeye ndiye anatishia amani ya nchi hii kuliko mwanasiasa yeyote yule.
 
..NDIYO, nitashiriki maandamano ambayo nakubaliana na sababu zake, na nimejiridhisha kwamba yatapeleka ujumbe uliokusudiwa.

Haya maandamano ya Mange unakubaliana nayo?

Utayashiriki?
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, mwanzo wengi walimbeza humu humu sasa mpaka mkulu kaingilia kati.

Usipojenga UFA utajenga ukuta mkuu afikili Mara mbili kwa nin wanataka kuandamana??? Wao wanasema wanataka;

1.KATIBA MPYA
2.TUME HURU YA UCHAGUZI
3.UHURU WA KUJIELEZA
4.MAANDAMANO YA AMANI NA MIKUTANO YA KISIASA YARUHUSIWE.

Je, kwa mujibu wa kiongozi wao wa maandamano aliyopo kule kwa Trump hoja zao zinamashiko???

Kama zinamashiko basi serikali izifanyie kazi la sivyo richa ya uoga wa WATANZANIA, wajue kuna sumu inasambazwa na chuki Kali juu ya RAIA kwa yanayoendela nchini kwetu time will Tell.
 
Haya maandamano ya Mange unakubaliana nayo?

Utayashiriki?


..to be honest with u mimi sijawahi kumfuatilia huyu mwanadada.

..and I am really buffled by ppl who take her seriously.

..huyu dada ana play mind game na watu.

..na leo "dingi" kaingia mzima-mzima kwenye anga za Mange na kutishia kuumiza watu watakaomuunga mkono.

..I think that is exactly what Mange wanted to achieve.
 
narrow thinking! akili ndogo hizi. kwamba kwa sababu amechaguliwa kidemocrasia baasi achwe afanye atakayo.kwamba kwa sababu hajamaliza miaka mitatu ndiyo atishe watu kama alivyofanya huko chato? shwaini zake wewe wewe uliona wapi kiongozi aliyechaguliwa kidemocrasia anayetaka aogopwe na waliomchagua? wewe kina polepole wanafanya mikutano nchi nzima huku wengine wapo ndani wewe unaleta ushoga hapa?
Nchi ya wachache hii mkuu.
 
Mikakati ya hao wanaopanga kuandamana ili hatimaye wamuondoe ikulu rais Magufuli ni mibovu sana.

Huwezi kumlinganisha rais Magufuli na hao akina Mubarak au sijui Gadaffi. Majitu yaliyokaa kwenye madaraka miongo na miongo.

Rais Magufuli kachaguliwa kidemokrasia [hata kama wengine hawakukubaliana na matokeo].

Tena kachaguliwa kihalali.

Rais Magufuli hata miaka mitatu madarakani hajafukisha.

Sasa unapoandaa maandamano yenye lengo la kumpindua, jua hakuna kundi, taasisi, au yeyote yule mwenye akili timamu atakayekuunga mkono.

2020 siyo mbali kivile. Kwa nini usisubiri hadi wakati huo ili umtoe kupitia nguvu ya kura?

Okay, utasema kuwa labda CCM wataiba kura.

Sawa, kama wataiba kura kweli hapo ndipo itakuwa muda muafaka kabisa wa kuitisha maandamano nchi nzima na kupinga yaliyotokea kwenye uchaguzi.

Hapo hata jumuiya ya kimataifa itakuwa na nafasi nzuri ya kukuunga mkono.

Lakini hii ya kupiga makelele mtandaoni na kushindana kumtukana mtu aliyechaguliwa kihalali haitofanikiwa kamwe.

Itaanzania na kuishia mtandaoni tu.

Hivyo shime wote msiompenda Magufuli. Pangeni mikakati mizuri. Acheni kupayuka na kulialia mitandaoni na mjipange ili 2020 ikifika mnamrudisha Chato huyo msiyempenda.
weka na namba ya simu ili upate ukuu wa wilaya...
 
Mikakati ya hao wanaopanga kuandamana ili hatimaye wamuondoe ikulu rais Magufuli ni mibovu sana.

Huwezi kumlinganisha rais Magufuli na hao akina Mubarak au sijui Gadaffi. Majitu yaliyokaa kwenye madaraka miongo na miongo.

Rais Magufuli kachaguliwa kidemokrasia [hata kama wengine hawakukubaliana na matokeo].

Tena kachaguliwa kihalali.

Rais Magufuli hata miaka mitatu madarakani hajafukisha.

Sasa unapoandaa maandamano yenye lengo la kumpindua, jua hakuna kundi, taasisi, au yeyote yule mwenye akili timamu atakayekuunga mkono.

2020 siyo mbali kivile. Kwa nini usisubiri hadi wakati huo ili umtoe kupitia nguvu ya kura?

Okay, utasema kuwa labda CCM wataiba kura.

Sawa, kama wataiba kura kweli hapo ndipo itakuwa muda muafaka kabisa wa kuitisha maandamano nchi nzima na kupinga yaliyotokea kwenye uchaguzi.

Hapo hata jumuiya ya kimataifa itakuwa na nafasi nzuri ya kukuunga mkono.

Lakini hii ya kupiga makelele mtandaoni na kushindana kumtukana mtu aliyechaguliwa kihalali haitofanikiwa kamwe.

Itaanzania na kuishia mtandaoni tu.

Hivyo shime wote msiompenda Magufuli. Pangeni mikakati mizuri. Acheni kupayuka na kulialia mitandaoni na mjipange ili 2020 ikifika mnamrudisha Chato huyo msiyempenda.
Unaelewa maana ya kupindua au umekaririshwa? Maandamano hayampindui raisi ila yanamuondoa madarakani kikatiba kwa sababu yapo kisheria na kikatiba
 
Unaandika kama vile huyaoni yanayotendeka hapa nchini...watu hawawezi kuingia kwenye uchaguzi 2020 bila kuwa na mabadiliko kwenye NEC hii ya com!..Inaonekana kama vile upo tayari kuhalalisha watu kuuwawa,kutekwa na manyanyaso mengine kwa kigezo ya kusubiria mpk 2020..huo utakuwa ni uoga au fikra finyu..wakati ni huu..lazima kieleweke 26/4
 
Unaelewa maana ya kupindua au umekaririshwa? Maandamano hayampindui raisi ila yanamuondoa madarakani kikatiba kwa sababu yapo kisheria na kikatiba

Ni wapi kwenye katiba panaposema rais anaweza kuondolewa madarakani kupitia maandamano?
 
Wewe nyani ngabu nawe ni mnafiki tu kazi kujificha matakoni wa wazungu huku mkishangilia usa bby kama mmepajenga nyie, shenz kabisa, Rudini mjenge nchi zenu mambumbu nyie
 
Mikakati ya hao wanaopanga kuandamana ili hatimaye wamuondoe ikulu rais Magufuli ni mibovu sana.

Huwezi kumlinganisha rais Magufuli na hao akina Mubarak au sijui Gadaffi. Majitu yaliyokaa kwenye madaraka miongo na miongo.

Rais Magufuli kachaguliwa kidemokrasia [hata kama wengine hawakukubaliana na matokeo].

Tena kachaguliwa kihalali.

Rais Magufuli hata miaka mitatu madarakani hajafukisha.

Sasa unapoandaa maandamano yenye lengo la kumpindua, jua hakuna kundi, taasisi, au yeyote yule mwenye akili timamu atakayekuunga mkono.

2020 siyo mbali kivile. Kwa nini usisubiri hadi wakati huo ili umtoe kupitia nguvu ya kura?

Okay, utasema kuwa labda CCM wataiba kura.

Sawa, kama wataiba kura kweli hapo ndipo itakuwa muda muafaka kabisa wa kuitisha maandamano nchi nzima na kupinga yaliyotokea kwenye uchaguzi.

Hapo hata jumuiya ya kimataifa itakuwa na nafasi nzuri ya kukuunga mkono.

Lakini hii ya kupiga makelele mtandaoni na kushindana kumtukana mtu aliyechaguliwa kihalali haitofanikiwa kamwe.

Itaanzania na kuishia mtandaoni tu.

Hivyo shime wote msiompenda Magufuli. Pangeni mikakati mizuri. Acheni kupayuka na kulialia mitandaoni na mjipange ili 2020 ikifika mnamrudisha Chato huyo msiyempenda.
Hatuwezi kusuburi akae miongo na miongo. Huyu ni wa kumuwahi mapema. Akikaa miongo, madhara yake yatakuwa mara kumi ya hao waliotajwa.
 
Ni wapi kwenye katiba panaposema rais anaweza kuondolewa madarakani kupitia maandamano?

..hivi Mange ametangaza maandamano ya kumpindua Raisi?

..na watu wenye akili timamu wanajiandaa kukabiliana na Mange Kimambi?!
 
Kwani unadhani Mubarak alikuwa hachaguliwi? Alikuwa ana chaguliwa vzuri kabsaaa! Na wanafanana ki utendaji kabsaa na Mubarak.
Ila Magu haezi wekwa class moja na Gaddafi, generali alikuwa ana saidia wananchi wake tofauti na huyu
 
Wewe nyani ngabu nawe ni mnafiki tu kazi kujificha matakoni wa wazungu huku mkishangilia usa bby kama mmepajenga nyie, shenz kabisa, Rudini mjenge nchi zenu mambumbu nyie[/
Umesoma katiba vizuri? Na nn maana ya kuruhusu kuwepo maandamano?
 
Back
Top Bottom