Pesa yenyewe usifikiri ni nyingi iliyokuwa inapatikana kama ada. Kumbuka kila mwanafunzi alikuwa analipa elfu 20 tu. Piga hesabu kama wanafunzi wako milioni moja kwa mwaka watalipa ngapi.
Ada ni danganya toto tu. Michango haijafutwa Waziri wa Elimu na utamaduni awamu,Shukuru Kawambwa alisisitiza michango iko pale pale.
Michango ya:
Dawati Tzs 45000-90000
Mlinzi Tzs 1000
Umeme na Maji 5000
Maji taka tzs 1000
Ujenzi wa madarasa tzs 20000
Speed Test tzs 300 x wiki x miezi 10
Kifagio tzs 100 x miezi 10
Mitihani na photocopy tzs 45000
Remial classes kwa drs 4 na 7 tzs 5000 x miezi 10
nk...nk...nk
Bajeti inayoendelea kutumika ni ile ya Shukuru Kawambwa 2015/16 na zile "NDIYOOO!" za wabunge wa fisiem.