ningekuwa na uwezo ningewahamisha watanzania niwapeleke hata malysia au botwana wakajionee wenyewe walivyo nyuma,,,,yaani kila jambo kwao haliwezekani mpaka haki zao pia haziwezekani,,,,ukiona nchi kuna cholera dunia ya leo tena capital city ni shida sana,,haya magonjwa yalikua before industrial revolution in 15-18 c