Magufuli, Pesa hizi zinatoka wapi?

Magufuli, Pesa hizi zinatoka wapi?

Ina maana wewe umeleta mada na haujui unaongelea pesa ngapi?
Nimeipitia sera ya elimu inayoonyesha idadi ya wanafunzi na mipango ya Elimu. Wengi tungeisoma na kulinganisha na haya ya Magufuli na mwenzake Lowassa kuanzia kampeni huenda tungefaham zaidi. Rough estimate ni 50 billions na hapo ni kuassume ni ada tu bila michango.
 
Elimu bure inawezekana hata mgombea wa Ukawa aliliona hilo kuwa linawezekana!
Nchi hii kuna miji hela mingi sana sema usimamizi tu kuwabana hawa wajanja na wezi wanao kula fedha za serikali kwa kujinufaisha waooo
Sijapinga kuwa elimu bure haiwezekani. Nilichouliza katikati ya Bunge pesa anatoa wapi? Au ndio kwenye X-ray na CT scan?
 
Nimeipitia sera ya elimu inayoonyesha idadi ya wanafunzi na mipango ya Elimu. Wengi tungeisoma na kulinganisha na haya ya Magufuli na mwenzake Lowassa kuanzia kampeni huenda tungefaham zaidi. Rough estimate ni 50 billions na hapo ni kuassume ni ada tu bila michango.

Kumbe una "assume" tu!

Na unataka tupingane na "assumption" zako?

Unanchekesha!
 
Kumbe una "assume" tu!

Na unataka tupingane na "assumption" zako?

Unanchekesha!
FaizaFoxy usilete kubishana hapo. Hiyo assumption ipo very clear na kiwango cha chini ni bil 50. Hiyo bil 50 haina assumption. Haya zinatoka wapi?
 
Naona mnasahau elimu inaweza kusema ni bure wakatoa hela lakn tatizo sio vifaa elimu bora ni utendaji wa utoaji maarifa na upimaji Kwa wapokeaji
Tathimin ifanyike hapo Au pitia tathimin ya utafiti wa haki elimi 2013,wa juu ya hamasa ya walimu
Elimu Bure n zaid ya hela
 
Mh Rais umetutangazia kuwa elimu itakuwa bure kuanzia January 2016. Lakini hujatueleza kuwa pesa hizo za elimu zinatoka sehemu gani katika bajeti yetu na ukizingatia Bunge lilishapitisha bajeti yetu. Je, zinapunguza pesa kutoka afya? Miundombinu au wapi?

Ni kweli umetoa ahadi nyingi za katika ilani ya CCM lakini utekelezaji wa "hapa kazi tu" bila mipango unaweza kuyumbisha maeneo mengine muhimu ya serikali.

Tafadhali angalia usikwame mapema kama vikao vya Ngurudoto.

Hili swali ulitakiwa kumuuliza kwanza lowasa wakati wa kampeni angepata wapi pesa ya kusomesha chekechea hadi chuo kikuuu? au na wew ulikuwa nyumbu?
 
FaizaFoxy usilete kubishana hapo. Hiyo assumption ipo very clear na kiwango cha chini ni bil 50. Hiyo bil 50 haina assumption. Haya zinatoka wapi?

Kama unasema hiyo siyo assumption, weka the right figure.

Isitoshe, unaona billion 50 ni nyingi sana kiasi Serikali ishindwe ku raise? Hivi safari za nje za wizara na idara za Serikali zote zilizositishwa unajuwa ni kiasi gani kitaokolewa?
 
Tusiongee kinadharia hapa, aseme gharama ya shule zote za serikali ni kiasi gani na kiasi anachotarajia kupata ni kiasi gani kutokana na kubana matumizi. Kufanya kazi kwa headlines hakutatusaidia.

Naamini unaipenda Tanzania iendelee kiuchumi. Utanzania wako usiwe wa kulaumu tu. Toa gharama halisi za elimu kuanzia mwaka 2016 kwa watoto wataoandikishwa shule. Baada ya hapo pendekeza jinsi ya kupata hiyo fedha.

Acha longolongo

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Kama unasema hiyo siyo assumption, weka the right figure.

Isitoshe, unaona billion 50 ni nyingi sana kiasi Serikali ishindwe ku raise? Hivi safari za nje za wizara na idara za Serikali zote zilizositishwa unajuwa ni kiasi gani kitaokolewa?
Hili lilikuwa swali la msingi nililoanza nalo, nilidhani unajibu naona limenirudia. Safari za nje kiasi gani?
 
Hili swali ulitakiwa kumuuliza kwanza lowasa wakati wa kampeni angepata wapi pesa ya kusomesha chekechea hadi chuo kikuuu? au na wew ulikuwa nyumbu?

Hahahahahaha

Atakuja na majibu mara hii "assumption" mara hii si "assumption", anaonesha amechanganyikiwa na spidi ya Magufuli.
 
Na zingine zipunguzwe kwenye posho na mishahara ya wabunge. wengi wamehonga wakijua bungeni kuna ulaji na hao safari hii wabanwe tujue sasa rangi halisi za wabunge na unafiki wao
 
Hahahahahaha

Atakuja na majibu mara hii "assumption" mara hii si "assumption", anaonesha amechanganyikiwa na spidi ya Magufuli.
Nilimsupport Magufuli na bado ninamsupport. Nitakuwa sijitendei haki kama sitahoji huku kukurupuka. Kuna maamuzi mengi yatafuata ambayo huenda yakawa kinyume na taratibu kwa sababu ya headlines grabbing stories. Miaka 5 ni mingi, ni vyema apange.
 
Naamini unaipenda Tanzania iendelee kiuchumi. Utanzania wako usiwe wa kulaumu tu. Toa gharama halisi za elimu kuanzia mwaka 2016 kwa watoto wataoandikishwa shule. Baada ya hapo pendekeza jinsi ya kupata hiyo fedha.

Acha longolongo

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Ungesoma hii thread ungekuta gharama nimezitoa. Halafu kuniuliza pa kutoa ndio hilo swali ninauliza kwamba baada ya bajeti pesa inatoka wapi?
 
Hili lilikuwa swali la msingi nililoanza nalo, nilidhani unajibu naona limenirudia. Safari za nje kiasi gani?

Wewe nnadhani umechanganyikiwa na spidi ya Magufuli, mara una "assume", mara si "assumption", ukiulizwa na wewe unarudi na swali hilo hilo.

Utakapoona zimeshindwa kulipwa ndiyo uje na "assumptions" zako, kwa sasa huna chenye maana.
 
[quote=bnhai;14564203]mh rais umetutangazia kuwa elimu itakuwa bure kuanzia january 2016. Lakini hujatueleza kuwa pesa hizo za elimu zinatoka sehemu gani katika bajeti yetu na ukizingatia bunge lilishapitisha bajeti yetu. Je, zinapunguza pesa kutoka afya? Miundombinu au wapi?

Ni kweli umetoa ahadi nyingi za katika ilani ya ccm lakini utekelezaji wa "hapa kazi tu" bila mipango unaweza kuyumbisha maeneo mengine muhimu ya serikali.

Tafadhali angalia usikwame mapema kama vikao vya ngurudoto.


[/quote]zile walizogawa wakina nyoka wa makengeza zilitoka wapi?
 
Watu wengi wanafikiri ukizuia safari aa nje basi unaokoa ma trilion.. hamna anaejua ni kiasi gani kinatumika kwa mwaka..lkn la msingi zaidi ni hili km serikali haitimizi hata nusu ya bajeti yake je hizo promise zitawezekanaje!?
 
Tusiongee kinadharia hapa, aseme gharama ya shule zote za serikali ni kiasi gani na kiasi anachotarajia kupata ni kiasi gani kutokana na kubana matumizi. Kufanya kazi kwa headlines hakutatusaidia.

Nyıe watu wa ajabu kweli.Primary mpaka sasa hakuna ada.Sekondarı(kutwa),ada ni 20000 na bado wengi hawalıpi.Bwenı 70000.Hz ni hela ndogo na sehemu kubwa zilitafunwa.Mradi wa kuzuia mashangingi pekee anagharmia ada hyo na nyongeza juu.
 
Unafuta elfu 20 mwanafunzi analipa Tuition laki 3 kwa mwaka.Mdanganyika ni mdanganyika tu

Kujiongeza ni muhimu kwa faida yako mwenyewe.Pamoja na kufundishwa shuleni,bado mwanafunzi anatafuta mbinu mbadala kuongeza maarıfa yake.
 
Acha umbulula. Haya tuambie na wewe uliyeupande WA pili mngetoa wapi pesa elimu bure hadi chuo kikuu. Mpumbavu Sana wewe lofa WA malofa. Subiri watu wafanye kazi sio kuhoji umekalia kijiwe cha kahawa na siasa za kimandazi. Shut up
 
Back
Top Bottom