Magufuli, Pesa hizi zinatoka wapi?

Magufuli, Pesa hizi zinatoka wapi?

Hizo pesa zinapatikana tu. Si mnakumbuka ile bajeti ya Chai na Vitafuniwa tena vya idara moja ya Ikulu tu peke yake ilikuwa Billion 19.5! Hapo nimbali ya yale masurufu aliyokuwa akipata JK kwa safari zake za nje ambazo tunaambiwa yalikuwa nayo ni mabillioni kila mwezi? Mpaka imagine hamjapata pesa za kusomesha watoto bure tu? Hujazunguka idara nyingine za serikali hapo ambako kote kulikuwa ulaji wahovyo hovyo tu? eeh! no?
 
Mh Rais umetutangazia kuwa elimu itakuwa bure kuanzia January 2016. Lakini hujatueleza kuwa pesa hizo za elimu zinatoka sehemu gani katika bajeti yetu na ukizingatia Bunge lilishapitisha bajeti yetu. Je, zinapunguza pesa kutoka afya? Miundombinu au wapi?

Ni kweli umetoa ahadi nyingi za katika ilani ya CCM lakini utekelezaji wa "hapa kazi tu" bila mipango unaweza kuyumbisha maeneo mengine muhimu ya serikali.

Tafadhali angalia usikwame mapema kama vikao vya Ngurudoto.

Rais JPM anajua nini anafanya now and later. we tulia tuu soon utampigia saruti. au km vp nenda kamuulize mzee wa kujiharishia
 
Msiongee kirahisirahisi kuhusu issue sensetive kama elimu jamani......! Hii mambo co ya kuahidi jukwaani kwa muda wa miezi miwili na January utekelezaji uanze Safari za nje za viongozi kwa mwaka bajeti yake haitoshi kugharamia elimu hata ya mcngi kwa mwaka kwa mkoa mmoja bado secondary alafu watu mnarahisisha hii issue ni kaa la moto..... Linahitaji maandalizi....
 
Msiongee kirahisirahisi kuhusu issue sensetive kama elimu jamani......! Hii mambo co ya kuahidi jukwaani kwa muda wa miezi miwili na January utekelezaji uanze Safari za nje za viongozi kwa mwaka bajeti yake haitoshi kugharamia elimu hata ya mcngi kwa mwaka kwa mkoa mmoja bado secondary alafu watu mnarahisisha hii issue ni kaa la moto..... Linahitaji maandalizi....
Waambie bwana maana watu wanaweka vyama mbele. Tanzania kwanza.
 
Mh Rais umetutangazia kuwa elimu itakuwa bure kuanzia January 2016. Lakini hujatueleza kuwa pesa hizo za elimu zinatoka sehemu gani katika bajeti yetu na ukizingatia Bunge lilishapitisha bajeti yetu. Je, zinapunguza pesa kutoka afya? Miundombinu au wapi?

Ni kweli umetoa ahadi nyingi za katika ilani ya CCM lakini utekelezaji wa "hapa kazi tu" bila mipango unaweza kuyumbisha maeneo mengine muhimu ya serikali.

Tafadhali angalia usikwame mapema kama vikao vya Ngurudoto.

Hivi wewe agizo la kuzuia safari za nje huna habari nazo?hivi wewe dhamira ya kupunguza wingi wa wizara huna habari nayo? Masuala ya kujifanya mjuaji kumbe hamna kitu ni ukawa ukawa.
 
Hivi wewe agizo la kuzuia safari za nje huna habari nazo?hivi wewe dhamira ya kupunguza wingi wa wizara huna habari nayo? Masuala ya kujifanya mjuaji kumbe hamna kitu ni ukawa ukawa.
Hoja si UKAWA hapa, hizo safari za nje zitasave kiasi gani ili kiende kwenye elimu? Na je wamejipanga huko kwenye elimu. Jana kuna bilioni zimeenda Muhimbili. Zilikuwa kwenye mipango?
 
Ulitaka watu waendelee kusafiri,tufike sehemu tusiwe wanafiki kwa kupinga kila kitu.
Uchaguzi umeisha tuwe na mawazo mapana kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.
 
Mh Rais umetutangazia kuwa elimu itakuwa bure kuanzia January 2016. Lakini hujatueleza kuwa pesa hizo za elimu zinatoka sehemu gani katika bajeti yetu na ukizingatia Bunge lilishapitisha bajeti yetu. Je, zinapunguza pesa kutoka afya? Miundombinu au wapi?

Ni kweli umetoa ahadi nyingi za katika ilani ya CCM lakini utekelezaji wa "hapa kazi tu" bila mipango unaweza kuyumbisha maeneo mengine muhimu ya serikali.

Tafadhali angalia usikwame mapema kama vikao vya Ngurudoto.

Kuna taratibu nyingi ambazo serikali inaweza kufanya ikiwa ni pamoja na kutayarisha supplimentary budget ku accomodate hizo cost mpya.....vile vile ifahamike wazi kuwa pengo la bajeti haliwezi kuwa kubwa kwa sababu hata ada iliyokuwa inatozwa kwa kila mwanafunzi ilikuwa ndogo kulinganisha na private school.Ada kwa mwaka kwa shule ya bweni ya serikali ni tshs 60,000/=(elfu sitinitu) kwa mwaka.
 
Mtoa post na watu wote wanao kuunga mkono mbona mnawashwa hivyo? Hii haraka haraka mnaitoa wapi? Mhe rais aliahidi na sasa anatekeleza. Tafadhalini msimpangie aanze lini. Nyinyi sio wenye serikali. Maana mlijaribu kuipata wananchi wakawakataa. Hivyo tumuache yule aliyekabidhiwa serikali aongoze. Na wala hatoshinikizwa na matakwa yenu nyinyi tu na kuyaacha yale waliyopanga.

Swali zuri lilipaswa kuwa hili: Ikiwa tunahoji huyu wa elimu bure hadi kidato cha nne atapata wapi hela. Je, ni nini tutafanya kwa yule aliyeahidi elimu bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu?
 
Et kweli huyu Wa elimu kuanzia awali mpaka chuo ingetoka wap pesa zipo tens sana walizoweka kwenye lumbesa zilitoka wap tumieni elimu yenu kufikil kwa kina kuliko kuwa limited thinker
 
bado watu watasema tu,jk alitimiza ahadi karibu zote na bado wanamsema,yeye afanye kwakadri ya uwezo wake tu,binadamu hawanaga shukrani

Asingetuacha na uchumi wa 0.9 na vipi JK alipambana na rushwa na ufisad?? Moja ya ahad zake nasikiaa hyo nayo ilikuwamo!!!! Vp soko la shinyanga,Dubai ya kigoma,Meli Mwanza, air tanzania ipo??? JK alijiharibia mwenyw...Uswahili na Urafiki mwing...tamaa ya mali nayo c nzuri...inaonekana ilijikita zaid kujimake powerful na ukizingatia katiba inampa madaraka kibao...Now kwa Magufuli huo urafk wa kijing na uchama mbele akiuweka na yy itakua balaa!!! Kuna watu walikua nyumanyuma kweny kampen zake kwa maslah binafsi....mfano Mrema kashamuomb asimsahau...BULEMBO NA DIALLO nao bado hawajakumbukwa hapo!!!!
 
Back
Top Bottom