Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
Habari zenu wadau, Sijui kwanini natamani sana kuona wizara ya Nishati na Madini, angepewa John Magufuli hata kwa muda mchache tu.
Najiuliza sana sijui ingekuaje au angefanya nini, au ndo angeanza kwa kutimua maelfu ya watu,
au mpaka sasa umeume ungekua umesharudi ndani ya wiki moja, natamani kuona.
Kuna mtu mwenye wazo kama langu? sorry kama nimewakwaza.
Najiuliza sana sijui ingekuaje au angefanya nini, au ndo angeanza kwa kutimua maelfu ya watu,
au mpaka sasa umeume ungekua umesharudi ndani ya wiki moja, natamani kuona.
Kuna mtu mwenye wazo kama langu? sorry kama nimewakwaza.