assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Naomba uweke tukio na utumbuaji wake.
Mimi naanza na suala la kagera kuachwa wateseke kwa kuwa walichagua upinzani.
Kubomolewa nyumba bonde la Hananasif kwa kuchagua ukawa,
Ongezeeni yapo mengi aje asome huenda hajui km tunajua
Mimi naanza na suala la kagera kuachwa wateseke kwa kuwa walichagua upinzani.
Kubomolewa nyumba bonde la Hananasif kwa kuchagua ukawa,
Ongezeeni yapo mengi aje asome huenda hajui km tunajua